Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Hueleweki, kwa sababu unajaribu kueleza kama mtu aliyebobea sana katika siasa lakini hueleweke kwa sababu unatumia maneno ama maandishi wa watu ambao hukuwaelewa vizuri wakati wa kusoma makala zao. maana nikikusoma huunganiki kuna mahali ulisoma haya mambo alafu akajaribu kuyatafakari lakini hujakidhi haja maana hueleweki. nakushauri kasome tena alafu mpe mtu anayejua siasa na mikakati ya propaganda ili awasilishe au uwasilishe baada ya msaada wake
 

Kumbe kinana naeye ana watoto wa nje cup, safi sana endelea kumfagilia!!!!!!!!!!!!na yale meno ya tembo endelea kuyapakia kwenye zile meli:A S 20:
 
Huwa najiuliza hivi zile bangi, unga, miili na uchafu mwengine unaotumika na kuuzwa katika club ya bilicans inayomilikiwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe inamfanya kuwa na hatia ?
 
Kinana kwa sasa hasafishiki ,njia rahisa ya kuisaidia CCM isihadhirike ni kwa kumpumzisha Kinana. Ni kweli amefanyakazi nzuri kwa kipindi chote hicho , lakini kwa mazingira ya Shughuli za kisiasa zilivyobadilika na njinsi alivyochafuliwa kwa maji taka yaliyochanganyika na oil chafu, Mzee wetu hawezi kusafishika ,ni bora ampishe mtu mwingine ili kupunguza tensheni inayokikabili chama kwa sasa. Nina hakika kwa sasa itamuwia vigumu sana yeye kama Kinana kuitisha mkutano wa hadhara na kuzungumza mpaka mwisho bila kuulizwa maswali ya kukela, kama unabisha aende kwenye kampein za uchaguzi mdogo kufanya kampeini ndo utajua hali ilivyo.Mpende msipende mpumzisheni huyu Mzee wetu , kazi aliyofanya inatosha.
 
Weka mbali na tembo wetu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapa si habari za kale bali jamaa ni mwelevu na ananidhamu ya siasa kwa wapenda mabadiliko lazima wasifie uteuzi wa kinana ila kwa wanasiasa uchwala ndiyo wanaobeza.

Nani atakula upuuzi huu, hapa hatuna haja na hizo siasa zako,
Watu tunataka mandeleo na mabadiriko siasa uchwara hazileti shibe, kama ni bingwa wa siasa na mkakati basi akafundishe Chuo kikuu.
Tunahitaji watu wenye dira sio hawa wezi walotutawala kwa miongo mitano
Zinduka
 


Weka mbali na _____________________________
 
Je Kinana ataweza kuucheza muziki wa kizazi kipya hasa baada ya watangulizi wake kushindwa?.Je kizazi kipya ambacho kimekusudia kuleta mabadiliko ya kihistoria ya kuking'oa chama cha kale pamoja na mizizi yake yote kitakubali kuwatumikia zilipendwa hata kama walikuwa na uwezo hapo zamani au ndiyo watafanya kama vile ya kale hayanuki?.
 
Umakini wa Kinana utawezaje kwa sasa hivi kubadilisha na kuboresha maisha ya Watanzania? Ni jinsi gani umakini huo utaweza kuondoa shutma dhahiri dhidi ya ccm na kuweza kugeuza mtazamo wa wananchi kwa ccm, tofauti na ilivyo sasa?

Umakini wake wote ameuelekeza katika kuiba rasilimali za nchi hii (meno na pembe za ndovu). Hana jipya la kumnasua katika hii kashfa kwani mwenyewe alishakiri kuwa kampuni iliyotumika kusafirisha nyara hizo ni ya kwake.
 
Mimi mwanachama wa chama chochote cha siasa ila napenda kuungana na watu wanaoleta mabadiliko yoyote mazuri!
Sasa naomba nikuulize Mleta mada kuwa
kwa siifaa zooote u/mlizo mtukuza A.Kinana
naomba nijue ktk hotuba yake ya
Morogoro topc ilikuwa nini???
 
Hotuba ya kinana morogoro ndio chimbuko la chuki za chadema kwa kinana but for sure kinana is clean
 
Kinana anakubalika mijini na vijijini. Waache chadema wahangaike na mijini ambako hata huko pia hawakubaliki

hakuna anakokubalika huyo jangili, mpaka abebwe diamond ndo apate watu wa kuwalaghai? nenda kapokee 7000 umechonga sana vitu visivyo na maana
 
Umakini wake wote ameuelekeza katika kuiba rasilimali za nchi hii (meno na pembe za ndovu). Hana jipya la kumnasua katika hii kashfa kwani mwenyewe alishakiri kuwa kampuni iliyotumika kusafirisha nyara hizo ni ya kwake.
Sawa sawa na kuwatetea magaidi yakupasa uwe na akili ya maiti
 
Huwa najiuliza hivi zile bangi, unga, miili na uchafu mwengine unaotumika na kuuzwa katika club ya bilicans inayomilikiwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe inamfanya kuwa na hatia ?

Bilicanaz ndio kitovu kikuu cha ushoga na usagaji hapa nchini...ndio chanzo kikuu cha mapato cha mh mbowe
 
Kinana amekuwa kwenye chama kwa miaka mingi, mtumishi wa umma kwa miaka mingi alikuwa wapi kuonyesha huo umahili wake mpaka wanachi wamepigika hivi? Au umakini wake uko kwenye kuwinda tembo?
 
pamoja na bashasha zote hizo bado kinana ni JANGILI nambari wani
 
Jamani ccccccc juen wa tz wamechoka chamsingi mkubali natokeo tu
 
and its kind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…