Ukweli mchungu: Kumpa mwanamke kila anachokitaka ni utumwa

Ukweli mchungu: Kumpa mwanamke kila anachokitaka ni utumwa

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Sio kila kitu anachokitaka au anachokuomba mwanamke ni lazima umpatie hata ķama kipo ndani ya uwezo wako sometimes mwambie sina. Lakini ikitokea kila anachokitaka mwanamke wako unampatia hata kama huna unajitahidi hata kukopa ili mradi kumpatia mwanamke wako my friend huo ni utumwa.

Kuna wanaume wengine huwa nawashangaa mtu unajinyima kisa mwanamke tu umfurahishe kwa kumpa kila achotaka my friend huo ni utumwa wa hali ya juu.
 
Endelea kuhudumia, huwezi sahau kuhusu unyevu, karibu chaputa.
 
Saidia Mtu ambaye Hana Huwezo au ndugu yako wajane masikini n.k
 
Kipindi cha nyuma nilshpiga hii kitu nilikua nateguka mguu kila mara na joint za magoti kusuguana na kuleta maumivu mkuu[emoji1787]
hahaha pole sana
mie mwanzo ilikua inachubua kichwa cha mb<><>
baada ya kujua matumizi sahihi, sasa ni dozi ya kutwa mara 4
 
Mwanamke anatakiwa asikusome wala kukuelewa. Yaani asiwe anajua nini utafanya wakati ujao. Kifupi usieleweke.
 
Back
Top Bottom