Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Najaribu kupitapita mitandao mbalimbali, naona kila mtu anasema Simba itatinga hatua ya robo fainali, huku wakikubali kuwa timu yao ni dhaifu lakini bado wanang'ang'ania eti watafika huko.
Mimi nakataa, namba za kiufundi zinanikatalia kabisa,
Ni hivi, huyu Simba kachukua points sita kwa mchovu Vipers, aliyewapoteza wachezaji wengi msimu huu kama Cesar Lobi Manzoki na Bobos.
Mechi ya kwanza kule Uganda Simba ilishinda kwa kudra za MUNGU tu huku mastraika na viungo washambuliaji wote wakishindwa kabisa kufanya kazi yao,
Tukirudi hapa kwetu kwa Mkapa ile juzi ukweli unadhihirika kuwa kuna wachezaji hawafai hata kuichezea klabu kubwa kama Simba huku likifungwa goli tamu na la kiufundi kwa jitihada za mchezaji mmoja mmoja na si timu.
Mechi inayofuata mnakabiliana na wagumu Horoya huku kiufundi Horoya akiwa anaimudu Simba kwa maeneo mengi, yaani kiufupi Simba anakufa hapa kwa Mkapa na kwenda kuzikwa kwa wababe na maanibiteni
Raja Club Athletic. Huku mkubwa Horoya akijihakikishia points zake Saba na kuwa na uhakika wa kuingia robo final kwani mwisho kabisa atamalizana na wabovu Vipers.
Kwa Yanga hii US Monastir hatoki kwa Mkapa
Mimi nakataa, namba za kiufundi zinanikatalia kabisa,
Ni hivi, huyu Simba kachukua points sita kwa mchovu Vipers, aliyewapoteza wachezaji wengi msimu huu kama Cesar Lobi Manzoki na Bobos.
Mechi ya kwanza kule Uganda Simba ilishinda kwa kudra za MUNGU tu huku mastraika na viungo washambuliaji wote wakishindwa kabisa kufanya kazi yao,
Tukirudi hapa kwetu kwa Mkapa ile juzi ukweli unadhihirika kuwa kuna wachezaji hawafai hata kuichezea klabu kubwa kama Simba huku likifungwa goli tamu na la kiufundi kwa jitihada za mchezaji mmoja mmoja na si timu.
Mechi inayofuata mnakabiliana na wagumu Horoya huku kiufundi Horoya akiwa anaimudu Simba kwa maeneo mengi, yaani kiufupi Simba anakufa hapa kwa Mkapa na kwenda kuzikwa kwa wababe na maanibiteni
Raja Club Athletic. Huku mkubwa Horoya akijihakikishia points zake Saba na kuwa na uhakika wa kuingia robo final kwani mwisho kabisa atamalizana na wabovu Vipers.
Kwa Yanga hii US Monastir hatoki kwa Mkapa