Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga. Kwa taarifa yako nakupa za ndani Shetani haishi kuzimu kwasasa anaishi kwenye himaya yake mpya iliyojengwa kwa pure Gold. Kuzimu walioko kule kwa sasa ni binadamu peke yao kwahiyo mnapofanya maombi yenu ya kuzimu mnawapigia kelele wenzenu msifikiri yupo kule tena na bado na nyie mtasokomezwa kule ndo mpate utamu mana kwasasa hamjui mnachofanya ndo mana midomo yenu inawawasha kama mmelamba upupu

Mwili wake unatema shoti hapa duniani utazitafuta hutazipata, umeme wa grid ya Taifa ni cha mtoto, alishakuwa shida hafai tena mpaka baba yake anajivunia kuwa na kidume. Baba yake anampenda sana kwasababu ya umaridadi wake vitani. Hizo shoti ndizo zinazowaunguza malaika wanaojaribu kumletea ujinga sasa hizo nguvu zenu mlizo nazo ni zipi wakati ninyi ni miili hivi kweli umezaliwa Tanzania unasema unampiga Shetani? Are you serious au unakula bange mbichi? Kabla ya kufanya mzaha wa kumpigia kelele nenda kwanza kapigane na jeshi la Marekani ukishafanikiwa nitafute nikupeleke kwa vinyamkera na vibwengo, ukimalizana nao nikupeleke kwa majini ukiwamaliza wote nikupeleke daraja la tatu mpaka nakufikisha kwake skeleton ina afadhali
Aliye ndani yetu ni mkuu kuliko aliyeko ulimwenguni.Hatupigani na shetani kwa maana yupo anayetupigania
 
Usimfananishe mtu anayetembea na YESU KRISTO na hiyo takataka inayoitwa shetani
 
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga. Kwa taarifa yako nakupa za ndani Shetani haishi kuzimu kwasasa anaishi kwenye himaya yake mpya iliyojengwa kwa pure Gold. Kuzimu walioko kule kwa sasa ni binadamu peke yao kwahiyo mnapofanya maombi yenu ya kuzimu mnawapigia kelele wenzenu msifikiri yupo kule tena na bado na nyie mtasokomezwa kule ndo mpate utamu mana kwasasa hamjui mnachofanya ndo mana midomo yenu inawawasha kama mmelamba upupu

Mwili wake unatema shoti hapa duniani utazitafuta hutazipata, umeme wa grid ya Taifa ni cha mtoto, alishakuwa shida hafai tena mpaka baba yake anajivunia kuwa na kidume. Baba yake anampenda sana kwasababu ya umaridadi wake vitani. Hizo shoti ndizo zinazowaunguza malaika wanaojaribu kumletea ujinga sasa hizo nguvu zenu mlizo nazo ni zipi wakati ninyi ni miili hivi kweli umezaliwa Tanzania unasema unampiga Shetani? Are you serious au unakula bange mbichi? Kabla ya kufanya mzaha wa kumpigia kelele nenda kwanza kapigane na jeshi la Marekani ukishafanikiwa nitafute nikupeleke kwa vinyamkera na vibwengo, ukimalizana nao nikupeleke kwa majini ukiwamaliza wote nikupeleke daraja la tatu mpaka nakufikisha kwake skeleton ina afadhali
View attachment 3036495
Kwa hiyo kashetani kamekutuma ututishe ...kambie kaje kenyewe
 
Shetani anaogopa kifo sijapata Kuona, na anamuogopa YESU sijapata Kuona
29 Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu?
Mathayo 8:29

31 Wale pepo wakamsihi, wakisema, Ukitutoa, tuache twende, tukaingie katika lile kundi la nguruwe.
Mathayo 8:31

Muoga sana huyu kiumbe unae mmwagia Sifa........Nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu.
Yeye na Yesu nani alikufa kati yao
 
narudi kusoma nahisi kizunguzungu na maumivu makali ya kichwa
 
Dunia na milki zake zote ni mali ya shetani, ila wanadamu walivyo waovu wanataka kumnyang'anya na kumfukuza sijui wanataka aende wapi.
Sio kweli soma hapa
1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Zaburi 24:1
 
Hata CCM hamwezi kamwe na daima

CCM oyeeeee chama Cha mapinduzi kidumu milele
 
Alikufa ili Mimi na wewe tuokolewe...Dunia ilikuwa chini ya shetani baada ya kufa tupo huru......the choice is yours whether kuwa mwana wa MUNGU au shetani
Ni presha tu pale wanapodhani wamekutupa mara ghafla ukakubalika na kupendwa wanaanza tena kupanik. Huyu baba Shetani anapendwa na watu asee sio mchezo walijua kumtangaza kuwa ni mbaya atachukiwa ndo kwanza anasujudiwa na dunia nzima
 
Sio kweli soma hapa
1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Zaburi 24:1
Zaburi na wakorinto ni maneno au nadharia ya mwanadamu Daudi, Paulo na wenzao.
Embu
Soma Luka 4: 6-8
6-7 Akamwambia, “Uki piga magoti na kuniabudu, nitakupa uwezo juu ya milki zote hizi na fahari yake; maana ni zangu na ninaweza kumpa ye yote nita kaye.” 8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’ ”

Hapo Yesu hakumkatalia shetani madai yake ila alimuonesha tu mbali na hizo mali bado hastahili kuabudiwa na kumbuka hayo ni maongezi ya viumbe wawili wanaomfahamu Mungu kwa kumuona. Sasa hayo ya barua ni nadharia za binadamu ambaye hakuwahi kumuona Mungu kwa macho yake.
 
Zaburi ni maneno au nadharia ya mwanadamu Daudi na wenzake.
Embu
Soma Luka 4: 6-8
6-7 Akamwambia, “Uki piga magoti na kuniabudu, nitakupa uwezo juu ya milki zote hizi na fahari yake; maana ni zangu na ninaweza kumpa ye yote nita kaye.” 8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’ ”

Hapo Yesu hakumkatalia shetani madai yake ila alimuonesha tu mbali na hizo mali bado hastahili kuabudiwa na kumbuka hayo ni maongezi ya viumbe wawili wanaomfahamu Mungu kwa kumuona. Sasa hayo ya Zaburi ni nadharia za binadamu ambaye hakuwahi kumuona Mungu kwa macho yake.
Wew ivi unamjua shetani alivyo muongo?....akiamua kukutungia story utasema kweli,,,,never Quote Satan....shetani ni baba wa uongo usimsikilize hata kidogo...
 
Wew ivi unamjua shetani alivyo muongo?....akiamua kukutungia story utasema kweli,,,,never Quote Satan....shetani ni baba wa uongo usimsikilize hata kidogo...
Shetani anaongea na Mungu muda wowote anaotaka, tena kwa kuonana sasa wewe unafikiri hajui maagano na maandiko?.

Aliongea na Mungu live kuhusu Ayubu, na zaidi ya yote ni muaminifu maana alifuata agizo la Mungu kuwa mtese ila usimuue na kweli hakumuua, ni binadamu wangapi wanaweza hilo swala, yaani ushindwe na ukubali kushindwa na kutimiza miadi.
 
Back
Top Bottom