Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Ni kama kiini macho, kumbuka shetani ni roho, ana uwezo wa kiroho, binadamu ni kauwezo kiduuuuuchu ka kimwili. Utadiriki kusema "shetani toka " hakika utatoka wewe.
Ndo wanavyopotezaga muda watu
 
images - 2024-07-11T221537.723.jpeg
 
Kijana Usioe Wanawake wa Sampuli hizi

Akiwa Mlokole Mlokole Usioe
Akiwa Mwanakwaya Usioe
Akiwa na Vidole vimeachana sana mguuni Usiooooooe kimbia kimbia kimbia hio ni hatari
 
Shida ya Wanadamu wengi wajinga Wana mchukulia Shetani kawaida mnoo lakini Hakuna mwanadamu yoyote Yule Enzi na Enzi,,manabii Kwa manabii,,mitume Kwa mitume aliyeweza pambana na Shetani akatoka salama au kumshinda haitakuja tokea kamwe,,Jamaa anapawa mnoo hakuna binadamu wa kumshinda Iwe Kwa Kiroho,,Kimwili na Kwa Nafsi pia
Nakazia!. Tena shetani na Mungu huwa wanapiga hadi story wala sio maadui, rejea kitabu cha Ayubu Mungu anamuuliza shetani VP umetoka wapi?, Shetani akajibu duniani huko. Mungu akamuuliza tena umemuona mtu wangu Ayubu anavyonipenda?, Nakuruhusu kamjaribu ila usimuue. Sasa walokole wanafikiri shetani ni adui mkubwa wa Mungu kumbe wao marafiki tu.
 
Shetani hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga. Kwa taarifa yako nakupa za ndani Shetani haishi kuzimu kwasasa anaishi kwenye himaya yake mpya iliyojengwa kwa pure Gold. Kuzimu walioko kule kwa sasa ni binadamu peke yao kwahiyo mnapofanya maombi yenu ya kuzimu mnawapigia kelele wenzenu msifikiri yupo kule tena na bado na nyie mtasokomezwa kule ndo mpate utamu mana kwasasa hamjui mnachofanya ndo mana midomo yenu inawawasha kama mmelamba upupu

Mwili wake unatema shoti hapa duniani utazitafuta hutazipata, umeme wa grid ya Taifa ni cha mtoto, alishakuwa shida hafai tena mpaka baba yake anajivunia kuwa na kidume. Baba yake anampenda sana kwasababu ya umaridadi wake vitani. Hizo shoti ndizo zinazowaunguza malaika wanaojaribu kumletea ujinga sasa hizo nguvu zenu mlizo nazo ni zipi wakati ninyi ni miili hivi kweli umezaliwa Tanzania unasema unampiga Shetani? Are you serious au unakula bange mbichi? Kabla ya kufanya mzaha wa kumpigia kelele nenda kwanza kapigane na jeshi la Marekani ukishafanikiwa nitafute nikupeleke kwa vinyamkera na vibwengo, ukimalizana nao nikupeleke kwa majini ukiwamaliza wote nikupeleke daraja la tatu mpaka nakufikisha kwake skeleton ina afadhali
View attachment 3036495
Ni kweli shetani ananguvu zaidi ya binadamu lakini watumishi wa Mungu kina yesu na Malaika wananguvu zaidi yake.hao ndo wapo kuwasaidia binadamu.ananguvu kwa sababu anasiri za mbinguni.
 
Ni kweli shetani ananguvu zaidi ya binadamu lakini watumishi wa Mungu kina yesu na Malaika wananguvu zaidi yake.hao ndo wapo kuwasaidia binadamu.ananguvu kwa sababu anasiri za mbinguni.
Wangekuwa na nguvu Yesu angegeuza yale mawe kuwa mkate alipoambiwa na Shetani
 
Wangekuwa na nguvu Yesu angegeuza yale mawe kuwa mkate alipoambiwa na Shetani
Alikuwa na uwezo lakini alimjibu kwamba yeye anapokea maelekezo kutoka kwa Baba yake tu.wakuabudiwa ni Mungu tu.wewe unajaribu kumuabudu.lakini huyo shetani sio lolote kwa yesu na kwa Mungu.ni Malaika wa Mungu aliyepotoka na kuna sehemu yake imeandaliwa ya kwenda kuteswa kwa hiyo anatafuta kampani sasa hivi.mpe kampani tu ukitaka ila utajuta.
 
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga. Kwa taarifa yako nakupa za ndani Shetani haishi kuzimu kwasasa anaishi kwenye himaya yake mpya iliyojengwa kwa pure Gold. Kuzimu walioko kule kwa sasa ni binadamu peke yao kwahiyo mnapofanya maombi yenu ya kuzimu mnawapigia kelele wenzenu msifikiri yupo kule tena na bado na nyie mtasokomezwa kule ndo mpate utamu mana kwasasa hamjui mnachofanya ndo mana midomo yenu inawawasha kama mmelamba upupu

Mwili wake unatema shoti hapa duniani utazitafuta hutazipata, umeme wa grid ya Taifa ni cha mtoto, alishakuwa shida hafai tena mpaka baba yake anajivunia kuwa na kidume. Baba yake anampenda sana kwasababu ya umaridadi wake vitani. Hizo shoti ndizo zinazowaunguza malaika wanaojaribu kumletea ujinga sasa hizo nguvu zenu mlizo nazo ni zipi wakati ninyi ni miili hivi kweli umezaliwa Tanzania unasema unampiga Shetani? Are you serious au unakula bange mbichi? Kabla ya kufanya mzaha wa kumpigia kelele nenda kwanza kapigane na jeshi la Marekani ukishafanikiwa nitafute nikupeleke kwa vinyamkera na vibwengo, ukimalizana nao nikupeleke kwa majini ukiwamaliza wote nikupeleke daraja la tatu mpaka nakufikisha kwake skeleton ina afadhali
View attachment 3036495
Mmeshawasili kwa kazi tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini
 
Alikuwa na uwezo lakini alimjibu kwamba yeye anapokea maelekezo kutoka kwa Baba yake tu.wakuabudiwa ni Mungu tu.wewe unajaribu kumuabudu.lakini huyo shetani sio lolote kwa yesu na kwa Mungu.ni Malaika wa Mungu aliyepotoka na kuna sehemu yake imeandaliwa ya kwenda kuteswa kwa hiyo anatafuta kampani sasa hivi.mpe kampani tu ukitaka ila utajuta.
Baba Shetani hateswagi na baba yake, wanapendana sana na anaishi kwenye hekalu yake na sio matesoni
 
Baba Shetani hateswagi na baba yake, wanapendana sana na anaishi kwenye hekalu yake na sio matesoni
Sio kweli wanaweza kuongea kwa sababu anauwezo na maarifa kumbuka alikuwa mmoja wa Malaika. lakini muda wake upo wa kwenda mahali ilipoandaliwa kwenda kuteseka ndo maana anatafuta kampani kwa nguvu he knows his destination.
 
Sio kweli wanaweza kuongea kwa sababu anauwezo na maarifa kumbuka alikuwa mmoja wa Malaika. lakini muda wake upo wa kwenda mahali ilipoandaliwa kwenda kuteseka ndo maana anatafuta kampani kwa nguvu he knows his destination.
Bado hujanelewa, utachukua muda muda kunelewa, habari za kuzimu ilikua zamani sisi sasa, habari za sasa hamzijui mnafahamu zile za zamani, tulieni muelekezwe
 
Back
Top Bottom