Ukweli Mchungu kwa Wana Yanga Wote

Yaliyosemwa ni uongo mkuu au ni kweli? Tuanzie hapo kwanza.

Ni uongo...Yaani kila hoja hapo ni uongo ...Kama ni uchambuzi ni wa kiwango cha chini kabisa...Yaani kilichoandikwa ni lugha ile ya mipasho kwenye vijiwe vya kahawa...Kusema kuwa eti Simba ni level ya kimataifa na Yanga ibaki na Stand United ni lugha ya shabiki wa soka asiyejua historia ya soka nchini...Yanga ndiyo timu ya Kwanza kushiriki kwenye ligi ya mabingwa...Yanga ndiyo timu nchini mwetu yenye kiwango cha juu cha soka kwa upande klabu barani Afrika kuliko timu nyingine yoyote hapa nchini...
 
Simba taifa kubwaaa! Ushauri mzuri Sana kwa Wana jangwani.
 
Acha kujitoa ufahamu wewe. Kwanza huwezi kuwa Yanga. Labda mamluki.
Kipimo cha ubora hakiwezi kufika sijui hatua ipi. Mwisho wa siku anakumbukwa bingwa tu.
Safari ya Kigoma lazima ufike mwisho wa reli. Haijalishi umerudia Moro, Tabora au Uvinza bado hujafika Kigoma.
 
Nyie pigeni kelele ila mfahamu kuwa msimu ujao hizo mechi za Klabu bingwa msimu ujao mtakuwa mnashangilia timu za wageni
 
Ohhh Simba imefunga team mbovu, haya hiyo mbovu imeishika Al Ahly tena Ahly wamefanya kuchomoa dakika za mwisho.

Baadae mnyama anachinja As Vita anaendelea kupepea kileleni.


Vyura yenu madimbwi tu [emoji196][emoji196]
 
Kuna raha fulani Simba hawana. Hawana furaha kabisa hata hapa walipofikia, wanaona kama hawakustahili.
 
Safi kabisa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mkia.Yanga hatufuatilii habari za mikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohhh Simba imefunga team mbovu, haya hiyo mbovu imeishika Al Ahly tena Ahly wamefanya kuchomoa dakika za mwisho.

Baadae mnyama anachinja As Vita anaendelea kupepea kileleni.


Vyura yenu madimbwi tu [emoji196][emoji196]View attachment 998600
Du! Tuliambiwa Simba imewapiga vibonde vipi tena Ahly imewashindwa? Huenda mnyama akaendelea kuongoza kundi baadaye mbona kuna watu watateseka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…