Mkuu hao jamaa wa pale bwawani mateso ni sehemu ya maisha yao wala sio jambo la kushangaza kabisaDu! Tuliambiwa Simba imewapiga vibonde vipi tena Ahly imewashindwa? Huenda mnyama akaendelea kuongoza kundi baadaye mbona kuna watu watateseka?
Abalance stori na timu inayopigwa na Gor mahia 7-1 NJE-NDANI?... Tena wa kenya tu hapo sio waarabu.Muulize mleta Uzi kwanza maana ameandika bila kubalance story, kaandika kinafiki
Na iwe hivyo...tofauti na hapo timu itapukutika tena viongozi, sio kwa madeni hayo na wananchi watachoka kuchangaNyie pigeni kelele ila mfahamu kuwa msimu ujao hizo mechi za Klabu bingwa msimu ujao mtakuwa mnashangilia timu za wageni
Unashindwa kutumia njia mbadala ya kutuficha kua ww ni Simba ila umetumia akili ndogo kufanikisha hili suala sasa nikwambie nini maana ya ushabiki....Hata Simba achukue kombe la mabingwa Africa hamna shabiki wa yanga atakaekubaliana na hlo suala ......na ww wakumtambia na hilo kombe ni mpinzani mwenzako wala hamna mwengine...kwahyo unapotaka akubaliane naww ni kama vile kuua upinzani Kama tunavoona awamu ya tano inavofanya......Naitwa Charles Mafuru shabiki na mwanachama wa Young Africans,
Nikiwa na akili timamu na pasipo kushawishiwa na yeyote pia nikiwa kama mwanasoka, sio dhambi wala sio ujinga kutoa mtazamo wangu.
Nimeamua kuandika haya kutokana na wanayanga wenzangu wengi kuendelea kuibeza Simba katika hatua walofikia kimataifa.
Sisi Yanga tumekua kimataifa takribani miaka 7 hadi 8 mfululizo lakini tumeshindwa kufanya vizuri hasa kwenye ligi ya Mabingwa Africa yani hatukua tunafika popote zaidii ya tunapofeli kuangukia Shirikisho kila mwaka kwa miaka 7.
Lakini wenzetu Simba Sc ndani ya miaka miwili tu wamefuzu hadi Makundi ya Ligi ya Mabingwa Africa hatua ambayo sisi yanga imetushinda kwa Miaka 7 mfululizo.
Ukweli utasimama tu, wenzetu Simba kwenye level ya kimataifa Hatuwawezi na ni makosa makubwa sana sisi kujilinganisha nao katka level za CAF.
Ona sasa kwa sasa Simba wanaongoza kundi D lenye timu za Al ahly, As Vita Club na JS Saoura iyo sio kitu cha mchezo mchezo, kwenye ili yanga tumefumbwa midomo kabisaaa, Ebu tuwaache awa jamaa kuwafatilia kwani kufanya ivo ni kupoteza muda tu, sisi tujiandae tu kucheza ligi na wakina Ndanda, Stand,Mwadui nk.
Hivi ni mchezaji wetu gani pale yanga sasa hivi tumpeleke Simba aingie kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja,mm simuoni yaani labda yondani napo mpaka yule Uchebe amuhurumie maana kwenye Wawa,Nyoni na Juuko siioni nafasi ya Yondani.
Sasa mimi nadhani wanayanga wenzangu tuwaheshimu Simba hatua waliyopo sisi tulishindwa kufika hata pale tulipokua bora, yaani mara ya mwisho ni 1998 napo tuliambulia pointi 2 wakati wenzetu mechi yao moja tu tayari wana points 3.
Namaliza kwa kusema wanayanga tuache kujitoa ufahamu katika hili.
Ndio maana Yanga inaitwa timu ya wananchiNa iwe hivyo...tofauti na hapo timu itapukutika tena viongozi, sio kwa madeni hayo na wananchi watachoka kuchanga
Simba au Yanga?... unageuza majina etiKuna raha fulani Simba hawana. Hawana furaha kabisa hata hapa walipofikia, wanaona kama hawakustahili.
Watapata tabu sana aseeDu! Tuliambiwa Simba imewapiga vibonde vipi tena Ahly imewashindwa? Huenda mnyama akaendelea kuongoza kundi baadaye mbona kuna watu watateseka?
Wazee wa bakuliNa iwe hivyo...tofauti na hapo timu itapukutika tena viongozi, sio kwa madeni hayo na wananchi watachoka kuchanga
Kwa kweli...japo Manji ndio kilio chenu.
Jamaa wanaomba hadi wasiojiweza...Wazee wa bakuli
Manji hayupo Yanga zaidi ya mwaka na timu ya wananchi inaongoza ligiKwa kweli...japo Manji ndio kilio chenu.
Kukubali hawatakubali...hata kukataa hawatakataa... ndio unafiki wenyewe huo na aibu juu.Unashindwa kutumia njia mbadala ya kutuficha kua ww ni Simba ila umetumia akili ndogo kufanikisha hili suala sasa nikwambie nini maana ya ushabiki....Hata Simba achukue kombe la mabingwa Africa hamna shabiki wa yanga atakaekubaliana na hlo suala ......na ww wakumtambia na hilo kombe ni mpinzani mwenzako wala hamna mwengine...kwahyo unapotaka akubaliane naww ni kama vile kuua upinzani Kama tunavoona awamu ya tano inavofanya......
Sent using Jamii Forums mobile app
....Hata Simba achukue kombe la mabingwa Africa hamna shabiki wa yanga atakaekubaliana na hlo suala ......
Leo mnyama anachinja mtu zakutoshaOhhh Simba imefunga team mbovu, haya hiyo mbovu imeishika Al Ahly tena Ahly wamefanya kuchomoa dakika za mwisho.
Baadae mnyama anachinja As Vita anaendelea kupepea kileleni.
Vyura yenu madimbwi tu [emoji196][emoji196]View attachment 998600
kuwa wa kwanza sio tatizo.. Tatizo ni kubeba ndoo.Manji hayupo Yanga zaidi ya mwaka na timu ya wananchi inaongoza ligi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakwambia Al ahly alipumzisha kikosi cha kwanza.Watapata tabu sana asee
Sasa unataka kuifananisha Yanga na Simba kwenye kuchukua ubingwa?kuwa wa kwanza sio tatizo.. Tatizo ni kubeba ndoo.
Yanga ni H. Makambo tu atacheza kwa Bocco.Pale simba ni wachezaji wawili tu wanaweza pata namba yanga, okwi na wawa tu, tena wawa anasubiri benchi..
Sent using Jamii Forums mobile app