Ukweli Mchungu kwa Wana Yanga Wote

Wangekua bora kuliko wa yanga wangekua wanaongoza ligi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni shabiki wa Simba ila sijawahi kuona shabiki wa Yanga mnafiki hivi.

Simba tutaenda mbele hata kama Yanga wanabeza.
Mimi ni mwanayanga yanga nadiriki kulike comment yako kwa kusema hatuwezi kuwa na mwana yanga nungayembe kama huyu.

Sitaki kujadili alichokisema kwa sababu mengi kaandika kimapenzi na siyo kimichezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipande kimenifurahisha sana. Hapa ndio utajua wanaojua mpira na wasiojua. Kusema kwamba hakuna shabiki wa yanga atakaekubaliana na hilo suala ina maana simba ndio atafutiwa ubingwa?

Tumia akili chief [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ushabiki wake wa hovyo anawatwisha na wenzie... ni kama Yanga wabebe ndoo ya ligi eti Simba tubishe tu... (daa watu bhana
 
Sibonike, demigod na kundi lenu.
 
Ohhh Simba imefunga team mbovu, haya hiyo mbovu imeishika Al Ahly tena Ahly wamefanya kuchomoa dakika za mwisho.

Baadae mnyama anachinja As Vita anaendelea kupepea kileleni.


Vyura yenu madimbwi tu [emoji196][emoji196]View attachment 998600
Kama hali ikiendelea hivi basi mnyamakazi lazma atawaudhi raia flani. Wale vijana wa bwawani leo andaeni Fragile msije mkaharisha hadi mkakata seal!
 
unaweza ukawa wa kwanza kutongoza na usilambe... Mwingine akatoka nyuma akalamba mzigo
Wewe ukabaki kuunga vifurushi vya chuo tu.
Ni wazuri ndio maana wako CAF makundi
16 Bora Afrika.
Huko caf tumeshacheza mpaka tumekinai...
Na kimataifa mwaka huu hamchezi, labda muombe tuchukue na FA na nyie mshike nafasi ya 2 tuwape nafasi moja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Na pia ukumbuke hapo yanga iliingia 8 bora caf africa wakati simba imeingia 16 bora, maanake ilifika robo fainali, simba hamtakaa mguse 8 bora, labda tuwatangulie kuchukua hilo kombe, maana nyie hua mnafuata nyuma record yanga....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2003 ulikua Bado haujaanza kufatilia Mpira Simba ikicheza 8 Bora? Yanga yangu mnashida kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa faida yako tuu Simba alishinda mechi mbili uwanja wa zamani wa taifa aka shamba la Bibi, na sare na ismailia kimagumashi alimfunga Enyimba 2-1 ambae baadae akaenda kuwa bingwa wa Africa,alimfunga Asec mimosa 1-0,na sare 0-0 na ismailia...msimamo uliisha

1 Enyimba 12

2.Ismailia 11

3.Simba 7


ndomana tunavyosema points 9 zipo taifa tuna uhakika hatubahatishi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…