Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Ligi yetu inaendeshwa kisiasa kama zilivyo siasa zenyewe.
Usitegemee kuiona Yanga ikishika tofauti na namba 1 kwenye ligi ya hapa kivyovyote hadi pale system ya nchi itakapobadilika.
Wapinzani mtafute njia nyingine za kufurahisha wapenzi wenu ila kuhusu ubingwa wa ligi sahauni kabisa kwa sasa
Usitegemee kuiona Yanga ikishika tofauti na namba 1 kwenye ligi ya hapa kivyovyote hadi pale system ya nchi itakapobadilika.
Wapinzani mtafute njia nyingine za kufurahisha wapenzi wenu ila kuhusu ubingwa wa ligi sahauni kabisa kwa sasa