Ukweli mchungu mahari ni utumwa tufunguke macho Waafrika

Ukweli mchungu mahari ni utumwa tufunguke macho Waafrika

wasumu

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
2,271
Reaction score
2,065
Mahali ni utumwa kwani mwanamke auzwe kama mzigo au bidhaa Waafrika tufunguke tuzitoze mali watu kama wamependana tuwape baraka na sio tuendeleze utumwa.

Ndoa nyingi sana zinavunjika kwa sababu ya hii kitu watu wakifunguka macho wakaacha hii hakuna ndoa itakayovunjika upendo utatamalaki.

Suluhisho ukimpenda binti unaenda kwao unajitambulisha wakupokee na mahali utoe matunda aina saba za matunda ili roho mtakatifu ndio awe kiunganishi cha ndoa yenu na sio hela binadamu atajifunza kuwa mahari ni utumwa ndio unaoleta au chanzo cha umaskini na kuvunjika.

Kwa nini unapotoa mahali kuna roho za lucifer roho za maagano na ukumbuke hakuna sehemu ambayo roho wa Mungu anakaa kwenye uonevu udhulumaji anaofanyiwa
 
mahari ni utumwa wakati ule watu wanapotoa mahali kunakuwa na mawazo mengi juu ya utaoaji wa mahari .roho wa upendo huondoka kwa kuwa mtu anaanza migogoro ya nafsi na hapo ukitoa tu mahari unaingia mkataba na roho za giza
Wacha bwana
 
mahari ni utumwa wakati ule watu wanapotoa mahali kunakuwa na mawazo mengi juu ya utaoaji wa mahari .roho wa upendo huondoka kwa kuwa mtu anaanza migogoro ya nafsi na hapo ukitoa tu mahari unaingia mkataba na roho za giza
mbadala wa mahari inabidi kila mtu ajue unavoenda kwa wazaz wa binti ..nenda na matunda aina saba mnakula wote kwa pamoja ndio mbadala wa mahali ili upendo ndio uwe msingi na sio msingi uwe kutokukubaliana na migogoro ya nafsi
 
Huyo mwanamke hajakupenda tu mkuu.....
Hawa viumbe wakipenda, hizo mnazoita mahari sijui kujitambulisha hua haviwaingii akilini.
Mwanamke akikupenda, ataishi na wewe hata kwao wamshikie bunduki maze...
ndio ila muhimu ufuate sheria ili msingi wenu uwe amani upendo kubwa ni kuwa mahari isiwepo ni chanzo cha migogoro katika ndoa na kuvunjika ndoa hapo baadae
 
mahali ni agano tena agano baya kweli kweli unafanya agano na mapepo hatari sana ujue ....hakuna sehemu inayosema kuna mahali inabidi tutoe kwenye biblia
mama yangu aliniambia ni agano sijui imeandikwa kwenye bibilia, sikufuatilia sana...

kwa anayejua aseme
 
mahali ni agano tena agano baya kweli kweli unafanya agano na mapepo hatari sana ujue ....hakuna sehemu inayosema kuna mahali inabidi tutoe kwenye biblia
dah, ila dini bwana

namaanisha alitetea kwamba bibilia inasema mahari ni jambo zuri
 
mimi nimeangalia mzizi wa unayoona migogoro ndani ya ndoa yaan chanzo chake ni mahali .(kiroho zaidi)
 
mimi nimeangalia mzizi wa unayoona migogoro ndani ya ndoa yaan chanzo chake ni mahali .(kiroho zaidi)
Hakuna kidogo Wala nini,
Ni upendo tu umepoa sikuhizi...
Waulize sogea tukae
 
Sisi mnaotuita watumwa tunataka sasa mtutolee mahari...
Sa itakuwaje 🤔??
upendo sio mahali mkipendana muhimu mwende homu anajitambulisha eeeh kama mzee wako anajua anamwambia kijana kama amekubali au baada ya hapo anamwambia anunua matunda aina saba mnakula pale basi anawabarik ..


kwa muda wake mumeo ndio anawapelekea zawadi kuwashukuru wazaz na ndugu
 
Mahari ni tamaduni za kale
utamaduni huu umeleta maagano yanayosababisha ndoa kutokuwepo na upendo migogoro mwisho ndoa kuvunjika tukatae kumuuza mwanamke ni utumwa sana
 
upendo sio mahali mkipendana muhimu mwende homu anajitambulisha eeeh kama mzee wako anajua anamwambia kijana kama amekubali au baada ya hapo anamwambia anunua matunda aina saba mnakula pale basi anawabarik ..


kwa muda wake mumeo ndio anawapelekea zawadi kuwashukuru wazaz na ndugu
Sawasawa 🤒
 
utamaduni huu umeleta maagano yanayosababisha ndoa kutokuwepo na upendo migogoro mwisho ndoa kuvunjika tukatae kumuuza mwanamke ni utumwa sana
Ungewaambia tu wanajf wakuchangie mkuu
Mada zingine hizi
 
Hakuna kidogo Wala nini,
Ni upendo tu umepoa sikuhizi...
Waulize sogea tukae
kila kitu kinaanza na ulimwengu wa roho ukikosea kule ujue kimwili utapata majanga tu kwa iyo shetani ndio aliyesababisha yote haya satan is mastermind of illusion and lies
 
Back
Top Bottom