Ukweli mchungu: Mashabiki wa simba hawawezi kuwa na furaha timu yao kushiriki caf super cup, wakati hawana kombe (ndoo) lolote ndani ya kabati lao

Ukweli mchungu: Mashabiki wa simba hawawezi kuwa na furaha timu yao kushiriki caf super cup, wakati hawana kombe (ndoo) lolote ndani ya kabati lao

Na
NALIA NGWENA

Hakuna shabiki yoyote Yule duniani mwenye furaha yakushiriki michuano Fulani pasipo na mafanikio yoyote, Bali kila shabiki ana matamanio yakupata mafanikio haswa yakubeba kombe (ndoo) Hiyo ndiyo furaha kubwa ya shabiki yoyote wa mpira wa miguu duniani.

Hata kandarasi mpya anayopewa kocha kuja kufundisha timu huwa anapewa vipao mbele vya timu husika inaweza kuwa achukue kombe la ligi, fa mapinduzi Hadi ngao ya jamii, nimegusa zaidi hapa nchini kwetu.

Naona inatumika nguvu kubwa sana au danganya Toto kwa mashabiki wa simba kudanganyiwa habari za simba kushiriki caf super cup na umekwnda extra mile kabisa nakuwaambia mashabiki wa simba kuwa simba ni Bora sana kimataifa ndiyo maana imechaguliwa kushiriki caf super cup.

Sawa, Sasa furaha ya mashabiki ipo wapi hapo?? Kama timu haina hata kombe lakufutia jasho ndani ya kabati katika msimu uliopita na huu msimu uliopo ni tia maji kombe lililo baki ni fa na timu haina uhakika Kama italichukua maana competition ni kubwa.

Piga ua galagaza kushiriki caf super cup siyo furaha kwa mashabiki wa simba Bali mashabiki wanataka kuona timu yao ikitwaa makombe pamoja nankupata ushindi mbele ya mtani wao yanga Kama mwenyekiti alivyowaahidi wanasimba kwenye kampeni yake.

My take, kelele za kushiriki caf super cup ni kelele zisizo na mashiko Wala faida mbele ya mashabiki wa simba, maana timu itashiriki pasipo na faida yoyote ikiwa imepoteza makombe yote ya ndani.
Kujiita mkubwa wakati huna kitu ni sawa na kubwa jinga tu.
Ahahaahaa

Mleta uzi umegonga mule mule,hawaamini macho yaooooo
 
Sema kwa Simba super league ni mtego sana maana uwe na
1.Super league
2.CafC
3.Nbc
4.Asfc
Hapo wanatupa yanga uwanda mpana wa kujidai maana ligi tutachukua tena
Ahaaahh

Bahati nzuri wanakoend hawatopata kombe lolote,iwe CAF CC,CAF CL au hiyo Super League
 
Back
Top Bottom