NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Hawachelewi kuja kulalamika nakusema kuwa wao walikua bize kimataifaSema kwa Simba super league ni mtego sana maana uwe na
1.Super league
2.CafC
3.Nbc
4.Asfc
Hapo wanatupa yanga uwanda mpana wa kujidai maana ligi tutachukua tena
Hamlingi Nini wakati mauzi yamejaaa kwa kujisifu vitu vya kjingaSio shida zetu, tutashiriki super league halafu hata haturingi.
Acha kuguna nenda kabeti
[emoji16] ngoja wakusikieAcha kuutonesha mshono wa wenzio basi.
kayaleteHamlingi Nini wakati mauzi yamejaaa kwa kujisifu vitu vya kjinga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16] ngoja wakusikie
Si ni kuweka TU kombe kwenye kabati lawama wapeleke cafHawachelewi kuja kulalamika nakusema kuwa wao walikua bize kimataifa
Wewe ndiye wa kusaga chupa kutwa nzima unaijadili Simba huoni huo ni upumbavu,ushamba na ulimbukeni. Kuijua Yanga juzi basi unataka uonekane kama ndiye mwasisi wa hiyo timu. Ushamba tu unakusumbua.Saga chupa unywe.
Sawa popoma nitayafanyia kazi mawazo yako afande wa zenjiWewe ndiye wa kusaga chupa kutwa nzima unaijadili Simba huoni huo ni upumbavu,ushamba na ulimbukeni. Kuijua Yanga juzi basi unataka uonekane kama ndiye mwasisi wa hiyo timu. Ushamba tu unakusumbua.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hapo kinyeo chako kimeshalowa bwege weweSawa popoma nitayafanyia kazi mawazo yako afande wa zenji
[emoji16] nashukuru sana kwa kunieleza ukweli kuwa kijambio chako kimelowa.
AhahaahaaNa
NALIA NGWENA
Hakuna shabiki yoyote Yule duniani mwenye furaha yakushiriki michuano Fulani pasipo na mafanikio yoyote, Bali kila shabiki ana matamanio yakupata mafanikio haswa yakubeba kombe (ndoo) Hiyo ndiyo furaha kubwa ya shabiki yoyote wa mpira wa miguu duniani.
Hata kandarasi mpya anayopewa kocha kuja kufundisha timu huwa anapewa vipao mbele vya timu husika inaweza kuwa achukue kombe la ligi, fa mapinduzi Hadi ngao ya jamii, nimegusa zaidi hapa nchini kwetu.
Naona inatumika nguvu kubwa sana au danganya Toto kwa mashabiki wa simba kudanganyiwa habari za simba kushiriki caf super cup na umekwnda extra mile kabisa nakuwaambia mashabiki wa simba kuwa simba ni Bora sana kimataifa ndiyo maana imechaguliwa kushiriki caf super cup.
Sawa, Sasa furaha ya mashabiki ipo wapi hapo?? Kama timu haina hata kombe lakufutia jasho ndani ya kabati katika msimu uliopita na huu msimu uliopo ni tia maji kombe lililo baki ni fa na timu haina uhakika Kama italichukua maana competition ni kubwa.
Piga ua galagaza kushiriki caf super cup siyo furaha kwa mashabiki wa simba Bali mashabiki wanataka kuona timu yao ikitwaa makombe pamoja nankupata ushindi mbele ya mtani wao yanga Kama mwenyekiti alivyowaahidi wanasimba kwenye kampeni yake.
My take, kelele za kushiriki caf super cup ni kelele zisizo na mashiko Wala faida mbele ya mashabiki wa simba, maana timu itashiriki pasipo na faida yoyote ikiwa imepoteza makombe yote ya ndani.
Kujiita mkubwa wakati huna kitu ni sawa na kubwa jinga tu.
AhaaahhSema kwa Simba super league ni mtego sana maana uwe na
1.Super league
2.CafC
3.Nbc
4.Asfc
Hapo wanatupa yanga uwanda mpana wa kujidai maana ligi tutachukua tena
Kimataifa kwenye hamna,ahahaahhahaHawachelewi kuja kulalamika nakusema kuwa wao walikua bize kimataifa
Kombe Gani mkuu!?Si ni kuweka TU kombe kwenye kabati lawama wapeleke caf
Safari yao ya robo mbona Kwisha kabisa.Kimataifa kwenye hamna,ahahaahhaha
Acha wakandwe kwanza halafu warudi nyumbani,wanaume tuendelee kukiwasha nusu fainaliSafari yao ya robo mbona Kwisha kabisa.
Kweli kabisa aiseeeAcha wakandwe kwanza halafu warudi nyumbani,wanaume tuendelee kukiwasha nusu fainali