Mbona sisi Simba tuna furaha? Na hii mechi ya tarehe 16 hakuna kuahirishwa, mchezeshwe mfululizo hadi mpigwe mkono na BalekeHakuna shabiki yoyote Yule duniani mwenye furaha yakushiriki michuano Fulani pasipo na mafanikio yoyote,
Baleke galasa kutoka tp Mazembe, ataifunga mtibwa na ihefu tu, hata Azam hawezi kuifunga huyoMbona sisi Simba tuna furaha? Na hii mechi ya tarehe 16 hakuna kuahirishwa, mchezeshwe mfululizo hadi mpigwe mkono na Baleke
kwa hiyo tukubaliane kwamba Ihefu ni timu dhaifu? 😁Baleke galasa kutoka tp Mazembe, ataifunga mtibwa na ihefu tu
cc: Labani ogMashabiki wenzangu wa Yanga tunafungua threads kama vichaa kuifuatilia Simba huu ni umbumbumbu Pro Max tujadili ya kwetu tumefanya vizuri msimu mmoja midomo imekuwa mirefu kweli wenzetu wamefanya vizuri misimu mnne mfululizo tukae Kwa kutulia CAF kuwachagua siyo ngekewa jamaa wapo vyedi.
Kwa kikosi Cha mchongo kilichochezeswa juzi Sasa ile ni ihefukwa hiyo tukubaliane kwamba Ihefu ni timu dhaifu? [emoji16]
Sizitaki mbichi hizi!Ni mashindano ya Timu kubwa tu. Hayazingatii vikombe vya chai mlivyojaza kwenye makabati ya mbao
Hata kombe lakuzugia hawana aisee hii ni hatari sana.Sizitaki mbichi hizi!
Poleni sana mbumbumbu fc, mna uchungu sana kupigwa pigwa kama ngoma na Yanga!
Ila Mikia mna uchungu sana zaidi hamna kombe hata la ndondo cup, ni aibu kubwa kwa 'wa kimataifa'
Uchungu mbili zinàkuja kipigo Toka Yanga na vipigo ndani nje vya Wydad!!
Tunapokosoa tunawajibika kupendekeza pia. Hebu weka kikosi ambacho kilipaswa kupangwa juzi:Kwa kikosi Cha mchongo kilichochezeswa juzi Sasa ile ni ihefu
Kupangwa wapiTunapokosoa tunawajibika kupendekeza pia. Hebu weka kikosi ambacho kilipaswa kupangwa juzi:
1.
2.
3.
.
.
.
11.
kwenye kikosi cha IhefuKupangwa wapi
Tulia wewe mwaka huu huna kombe lolotekwenye kikosi cha Ihefu
Hakuna kombe utakalopata mwaka huu.kwenye kikosi cha Ihefu
Pole sana kijana haya tunaomba mtuletee super cupNa bado mtalia sana,
Tabula rasa FC
Naskitika Azam wamewachapa vibaya mnooNdugu yangu hizi lawama watupie wenyewe CAF wao ndio waliopanga vigezo sio simba. Na wala caf hawakuwauliza mashabiki wa simba kama wana furaha au hawana furaha. Na wewe pambana utajua kushiriki super ligi kuna furaha au uchungu.
Wivu ukikuzidi kajifungue hospitali.
Azam ndugu yetu, hana baya
Kuna mtu anaona wivu sana kwa simba kushiriki super cup. Kushiriki mashindano haya ya kiwango cha juu kabisa hapa afrika ni heshima kubwa sana kwa klabu ya simba!! Kuna majirani zetu wanaitamani heshima hii lakini kwa bahati mbaya HAWASTAHILI bado!!Na
NALIA NGWENA
Hakuna shabiki yoyote Yule duniani mwenye furaha yakushiriki michuano Fulani pasipo na mafanikio yoyote, Bali kila shabiki ana matamanio yakupata mafanikio haswa yakubeba kombe (ndoo) Hiyo ndiyo furaha kubwa ya shabiki yoyote wa mpira wa miguu duniani.
Hata kandarasi mpya anayopewa kocha kuja kufundisha timu huwa anapewa vipao mbele vya timu husika inaweza kuwa achukue kombe la ligi, fa mapinduzi Hadi ngao ya jamii, nimegusa zaidi hapa nchini kwetu.
Naona inatumika nguvu kubwa sana au danganya Toto kwa mashabiki wa simba kudanganyiwa habari za simba kushiriki caf super cup na umekwnda extra mile kabisa nakuwaambia mashabiki wa simba kuwa simba ni Bora sana kimataifa ndiyo maana imechaguliwa kushiriki caf super cup.
Sawa, Sasa furaha ya mashabiki ipo wapi hapo?? Kama timu haina hata kombe lakufutia jasho ndani ya kabati katika msimu uliopita na huu msimu uliopo ni tia maji kombe lililo baki ni fa na timu haina uhakika Kama italichukua maana competition ni kubwa.
Piga ua galagaza kushiriki caf super cup siyo furaha kwa mashabiki wa simba Bali mashabiki wanataka kuona timu yao ikitwaa makombe pamoja nankupata ushindi mbele ya mtani wao yanga Kama mwenyekiti alivyowaahidi wanasimba kwenye kampeni yake.
My take, kelele za kushiriki caf super cup ni kelele zisizo na mashiko Wala faida mbele ya mashabiki wa simba, maana timu itashiriki pasipo na faida yoyote ikiwa imepoteza makombe yote ya ndani.
Kujiita mkubwa wakati huna kitu ni sawa na kubwa jinga tu.
Sawa endeleeni na heshima.Kuna mtu anaona wivu sana kwa simba kushiriki super cup. Kushiriki mashindano haya ya kiwango cha juu kabisa hapa afrika ni heshima kubwa sana kwa klabu ya simba!! Kuna majirani zetu wanaitamani heshima hii lakini kwa bahati mbaya HAWASTAHILI bado!!