changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Tujipe muda tuone mpaka mzungu wa 20 tuone timu ipi itakuwa inaongoza ligi na kwa gap ya point ngapi. Hapo ndio tunaweza kupata mwanga. Na ikitokea gap sio kubwa basi itatubidi tusubiri hadi tamati ya ligi.Hapo umeongea ki uanamichezo. Hongera sana.
TUKO PAMOJA.