Ukweli mchungu Mwanamke akikusaliti hakupendi, achana naye hana hisia nawewe

Ukweli mchungu Mwanamke akikusaliti hakupendi, achana naye hana hisia nawewe

Desire mobutu seseseko

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2018
Posts
987
Reaction score
1,426
Hakuna msamaha wa cheating kwa mwanamke wako kaka.

Usithubutu kuruhusu kudharaulika mara mbili hatakama mtu unampenda kiasi gani.

Mpaka akathubutu kuruhusu kupanga siku mpaka wakaingiliana kimwili maana yake kihisia anamkubali otherwise ni malaya.

Mwanamke hakulani na mwana asiemkubali vinginevyo anakuwa anajiuza.

Source from X #prospernow & kiduku mzee wa kinyeo
 
Achana Nae Bora Upige NYETO Kwa Mlenda Wa Moto Sio Kuishi Na MALAYA
Nyeto na Malaya kwa bora nyeto? Nauliza tena nyeto na Malaya unachagua nini namaanisha uwekewe mafuta ya Pdidy pale na Malaya yupo uchi pale kategesha kinena wewe unaenda wapi kwenye futa la kitimoto 🐽 ukapigie nyeto?
 
Ila mkinogewa hambanduki.. Wanawake wachache wanadakwa.. Wengi wana wamix kama kawa

😍😍😍
Ndio maana wengine wakigundua wanatoa plate number ya nyuma mapema maana usije ukatolewa bikra ya nyuma na muhuni fulani huko mimi sijakubandua, wanawake wajinga hawakosekani

Cc: DC Simiyu somebody Nawenda
 
Huu upuuzi wa kwamba mwanamke anapenda mnautoaga wapi jamani?
 
Kwa mujibu wa tamaduni za kiafrica mwanamke anaolewa na MTU yeyote Bora amepata Mume hata kwa kulazimishwa mwanamke anaweza kuolewa. Na anaweza kuacha kwa kigezo kuwa kapata mtu amemwambia anamuoa. Kimsingi hapo Ni maslahi zaidi ingawa sio Mara zote. Haya fikiria kauli yako upya
 
Back
Top Bottom