Ukweli mchungu, "Nchi nzima itasimama leo kufuatilia Mdahalo, uchaguzi mkuu Chadema." Hasubiri mtu kusimuliwa!

Ukweli mchungu, "Nchi nzima itasimama leo kufuatilia Mdahalo, uchaguzi mkuu Chadema." Hasubiri mtu kusimuliwa!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii ni kutokana na hali ilivyo kutokea katika maeneo mbalimbali ya nchi na pia katika "kuusoma upepo" kitalaamu:

Ggy5oBuWsAIjwyO.jpeg


Kwamba nyuma ya runinga watakuwapo Mama Abduli, Abduli, vigogo wote, bila kuwasahau wenye kumshikilia Daktari Slaa korokoroni kwa amri zao.

Haina shaka Mwamba japo kala kona kwa speed ya ngiri, yeye, pamoja na dream team nzima wote ndani, watakuwapo:

IMG_20250109_175045.jpg


Kwamba CUF, CCM, ACT, na vyama vyote vingine wote watakuwapo, sembuse wabangaizaji?

GflRcI0WsAAt-yv.jpeg


Kumbe nani atakosekana?

Asiye na mwana aeleke jiwe. Mtoto hatumwi dukani.

"Tukutane kwenye mdahalo, CDM 2025!"
 
Mmh labda!!! Kweli hili chama kubwa nimeamini.

Mbowe, Samia na washirika wao wakiwamo wanaohusika na wasiohusika hawakubanduka kwenye runinga.

Vidonge vyote vimewafikia.

Hapo ni mwendo kumeza au kutema, tote ni shauri yao!
 
Back
Top Bottom