Ukweli mchungu: Ndugai ameboresha Bunge ndiyo maana watu wanazitema teuzi za Serikalini na kukimbilia Bungeni

Ukweli mchungu: Ndugai ameboresha Bunge ndiyo maana watu wanazitema teuzi za Serikalini na kukimbilia Bungeni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Sikulazimishi ukubaliane na mimi lakini huu ndio ukweli mchungu.

Kama siyo ubora wa bunge Prof. Kitila asingeutema ukatibu mkuu wa kusimamia huduma ya maji Tanzania nzima na kwenda Ubungo.

Mnyeti na Paul wasingeukacha ukuu wa mkoa ambao wabunge wote mkoani wako chini yako na kwenda majimboni ili warudi kuwa chini ya maRC.

Wasanii wasingeitelekeza tasnia yao na kukimbilia Bungeni.

Askofu Gwajima anayefufua asingeacha wito wake wa kulisha kondoo na badala yake yeye anaenda kulishwa na Spika.

Niseme tu Bunge la Ndugai ndio kimbilio kwa sasa kutokana na ubora wa Spika.

Maendeleo hayana vyama!
 
Sikulazimishi ukubaliane na mimi lakini huu ndio ukweli mchungu.

Kama siyo ubora wa bunge Prof Kitila asingeutema ukatibu mkuu wa kusimamia Huduma ya maji Tanzania nzima na kwenda ubungo.
Kaka! Amka wewe....watu wanakimbilia Ubunge kwa kukwepa ajira chungu ya uteuzi! Hakuna kazi laini kama Ubunge..huna kuteuliwa wala kutenguliwa!
 
Kuna vichwa vingine ni kabati la meno tu hamna kazi nyingine

Eeh Mola naomba unisamehe
 
Kazi gani ya kuajiliwa yenye mshahara wa 12m kiinua mgongo cha 250m within 5yrs hapo sijasema malupulupu, ambayo muombaji anapaswa awe anajua kusoma na kuandika?
 
Kuna:-

1. Walioomba kwa ajili ya kujenga CV kwa JIWE ili waje kuteuliwa kama akishinda Urais.

2. Wanatamani Umate Umate ,Udambwi udambwi, Masotojo ,Marosoroso ,Full handazi ,12M per Month , 300k Per day , 400K kikao cha kamati , 250m Kiinua mgongo , 90m ya gari , 350m ya mufuko wa jimbo , 800m+ mkopo , 3m-10m rushwa ya kuunga/kuchangia hoja za mtu furani etc
 
Mkuu hauna kichwa aisee , unahelement kichwa chako kuna mtu kakichukua
 
Write your reply...Ndugai kasababisha bunge lionekane rahisi sana yaani mpaka uchebe na mkewe shilole wanataka kuwa wabunge...
 
Kuna:-

1. Walioomba kwa ajili ya kujenga CV kwa JIWE ili waje kuteuliwa kama akishinda Urais.

2. Wanatamani Umate Umate ,Udambwi udambwi, Masotojo ,Marosoroso ,Full handazi ,12M per Month , 300k Per day , 400K kikao cha kamati , 250m Kiinua mgongo , 90m ya gari , 350m ya mufuko wa jimbo , 800m+ mkopo , 3m-10m rushwa ya kuunga/kuchangia hoja za mtu furani etc

Yote haya af ujue kusoma na kuandika tu..
 
Yote haya af ujue kusoma na kuandika tu..
Waweke Minimum qualification ni Bachelor Degree /Adv. Dip or Equivalent kwa wamajimboni.

Special Seats:- Atleast Form Six or Equivalent.

Wakuwakilisha mkundi Maalum:- Ndio wawe wanajua kusoma na kuandika tu ,Walemavu , wazee ,vijana etc Maana kwenda kuwasemea watu wa kundi maalamu mahitaji yao haihitaji degree.
 
Kwa sasa waganga wa kienyeji watakuwa bize sana, hivi kazi ya uwakilishi ambayo mtu unatakiwa kujitolea imegeuka vipi kuwa mgodi wa dhahabu?
 
Back
Top Bottom