Ukweli mchungu Ripoti ya CAG: Wanasubiri tupoe waendelee na mambo yao (business as usual)

Ukweli mchungu Ripoti ya CAG: Wanasubiri tupoe waendelee na mambo yao (business as usual)

Wapinzani tulionao ni wajinga tu, wapo bize wanashangilia kifo cha JPM na kushangilia hotuba za mama Samiah. Wakijakushtuka tayari ni 2025.
Hata mimi nashangaa yani wamemuandama mtu ambaye ameshajifia,yani huu ufisadi na hasara tulizopata kwao ni furaha kwamba wamepata ya kumsema Magufuli ambaye ameshakufa,sasa wanavyoongea unaweza kufikiri kwamba nchi hii tatizo lilikuwa Magufuli tu.

Mimi nasema nchi hii wapinzani ndio wanatukwamisha.
 
CCM itaendelea kutawala, huu ni ukweli mchungu.
Mama Samia yupo vizuri Sana, Kama mnawaza uchaguzi 2025 hayo ni matumizi mabaya ya mawazo
 
Kama ni kushangilia, watu wameshangilia haswa, wakiamka ndotoni watakumbuka wako Tanzania ile ile, inayoongozwa na system ile ile, inayotawaliwa na CCM ile ile, tofauti ya upigaji ndio jambo linaloshangiliwa sasa hivi, kwamba wa safari hii ni mkubwa sana, badala ya kujiuliza nini kifanyike kumaliza hali iliyopo kila awamu na madudu yake, hili taifa lina watu wanaoyumbishwa na upepo kama majani ya miti.
 
Mbona Kenya wameweza mkuu?
Walichoweza kubadilisha ni katiba tu Ila Mambo yaleyale ya zamani. Pamoja na kubadilisha katiba ufisadi uliopo Kenya sio wa kawaida hadi mwaka jana walikula pesa za COVID hadi wananchi wakajua, Kama nilivyokwambia tatizo ni selfishness ya mtu mweusi. Haya matatizo sio ya hapa tu ni ya nchi zote zenye watu weusi hata nje ya Africa. Watu wakipewa madaraka wanawaza matumbo yao tu. Kwa kuhisi waweza kidhani CHADEMA au ACT wakiingia madarakani mambo yatabadilika Ila kiuhalisia watakaobadilika ni mafisadi na kuja wapya Ila Mambo ni yaleyale.
 
Tafuta pesa kama kulalamika hakusaidii na hakuna njia mbadala na huna la kufanya.
 
😂😂😁😁😅😅😄😄
Serikali Ya Wanyonge!!
 
Walichoweza kubadilisha ni katiba tu Ila Mambo yaleyale ya zamani. Pamoja na kubadilisha katiba ufisadi uliopo Kenya sio wa kawaida hadi mwaka jana walikula pesa za COVID hadi wananchi wakajua, Kama nilivyokwambia tatizo ni selfishness ya mtu mweusi. Haya matatizo sio ya hapa tu ni ya nchi zote zenye watu weusi hata nje ya Africa. Watu wakipewa madaraka wanawaza matumbo yao tu. Kwa kuhisi waweza kidhani CHADEMA au ACT wakiingia madarakani mambo yatabadilika Ila kiuhalisia watakaobadilika ni mafisadi na kuja wapya Ila Mambo ni yaleyale.
Kenya wana bunge dhaifu kama letu?
 
Kenya wana bunge dhaifu kama letu?
Bunge la Kenya ni tofauti kwasababu kuna mchanganyiko wa wawakilishi kuvyama. Ninachokikubali wabunge wa Kenya kuna wanaowapambania wananchi kweli hadi majimboni mwao kwenye jamii. Mfano wa wabunge wa Kenya ni Kama Marehemu Filikunjombe alivyokuwa anafanya jimboni hadi anashiriki shughuli za kijamii. Wabunge wote kuwa CCM ni tatizo Ila hata wapinzani wetu wapo kimaslahi zaidi kwa Imani yangu.
 
Back
Top Bottom