UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

Fundi kipara

Senior Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
125
Reaction score
247
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo[emoji3].

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.[emoji23][emoji1666]
Kama Hujui chochote kuhusu Simba ya Nini kuandika humu?

Yaani viongozi wa CAF na dunia inajua Simba ilicheza fainal ya cafcc ya leo na Stella Abdijan mwaka 1993

Wanajua Simba Ina rekodi ya kufika nusu fainal Cafcl mwaka 1974.

Dunia inajua Yanga Ina miaka 26 bila kucheza group stage Cafcl wakat Simba ilicheza robo fainal Mara 4 ya mashindano ya CAF!

NB: Hakika ujinga Ni kipaji!
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo[emoji3].

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.[emoji23][emoji1666]
Mnazidi kujidhalilisha tu kwa mada za kijuha huku
FB_IMG_1697801575410.jpg
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
Na mwarabu huwa tunamtwanga huko huko kwake.
 
Ukweli mchungu. Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.
Pole sana, umeandika kwa uchungu. Simba hakutengeneza mashindano. Ni FIFA na CAFwenye mpira wao, nao wakaona Simba inastahili. Wewe ambaye sio mwenye mpira ndio unasema kwa uchungu kuwa Simba hawakustahili. Tunafahamu mna maumivu makali sana, ila vumilieni tu! Mwiko nyuma!
 
Sasa we jamaa😂😂😂😂
Eti hawana hata medali we una medali gani?
Umekaa huko umeona ndo wazo hili?

Yani ngoja nikwambie kitu sisi wanasimba kusare jana tunaongea tu ila roho zinauma
Utakimbilia kukubali ndio lakini issue ni kwamba standard tuliyojiwekea ni kubwa mpaka kufungwa na al ahly kwetu roho inatuuma

Hili bonanza wewe na timu yenu nyote hata kigezo cha timu 24 mwakani hutokuepo
Mtu hujacheza cfl miaka 25 bro 25 yrs
Unafungwa na USM algier 😂😂😂 are you serious
Tena taifa
Nigga kaa pembeni uheshimu wakubwa nane tukicheza
 
Huu uzi una mafunzo mengi sana kwa wasomaji. Wachangiaji wenye akili ndogo watamtukana mtoa mada matusi ya nguoni na pia kumtweza utu wake.

Ila wale wenzangu na mimi wenye akili kubwa, watamjibu mtoa mada kwa hoja. Na hiki ndiyo wengi tunakipenda hapa jukwaani.
 
Simba imetumika kama Guinea Pig viti maalum kufanya amsha amsha za mashindano mapya tu sababu Ina mashabiki wengi mazuzu wa kujaza uwanja huku timu yao ikiwa Haina kombe lolote msimu wa tatu huu! Simba ni timu yenye promo zaidi duniani ila mpira ni papatu papatu!

Hao Al Ahly Simba imewashindwa sisi Yanga tutawakanda ndani nje, sisi ndio tunajua namna ya kumuadhibu mwarabu!
 
Simba imetumika kama Guinea Pig viti maalum kufanya amsha amsha za mashindano mapya tu sababu Ina mashabiki wengi mazuzu wa kujaza uwanja huku timu yao ikiwa Haina kombe lolote msimu wa tatu huu! Simba ni timu yenye promo zaidi duniani ila mpira ni papatu papatu!

Hao Al Ahly Simba imewashindwa sisi Yanga tutawakanda ndani nje, sisi ndio tunajua namna ya kumuadhibu mwarabu!

Nyuma Mwiko FC mnateseka sana mwaka huu
 
Pole sana, umeandika kwa uchungu. Simba hakutengeneza mashindano. Ni FIFA na CAFwenye mpira wao, nao wakaona Simba inastahili. Wewe ambaye sio mwenye mpira ndio unasema kwa uchungu kuwa Simba hawakustahili. Tunafahamu mna maumivu makali sana, ila vumilieni tu! Mwiko nyuma!
Pole sana Mwamba wa Lusaka kwa kunyimwa Juice na Waarabu.
 
Huu uzi una mafunzo mengi sana kwa wasomaji. Wachangiaji wenye akili ndogo watamtukana mtoa mada matusi ya nguoni na pia kumtweza utu wake.

Ila wale wenzangu na mimi wenye akili kubwa, watamjibu mtoa mada kwa hoja. Na hiki ndiyo wengi tunakipenda hapa jukwaani.
Mtakuwa na hoja siku mkiutoa ule mwiko huko nyuma. Mnateseka saaana.
 
Hizo nguvu mnazotumia kuiponda Simba so Bora makatumia kuifanya timu yenu kuwa Bora Africa. Nani hajui michuano aliyofika robo fainali nyinyi mlifurushwa mapema halafu mnataka tulingane?
 
Back
Top Bottom