UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
Kwa hiyo ukanda Cecafa ilitakiwa icheze timu gani
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo[emoji3].

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.[emoji23][emoji1666]
Sawa Simba hawakustahi,nendeni nyie mkashindiliwe vizuri huo mwiko huko nyuma hadi uzame kabisa ili mtulie.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
Mchungu kwa wewe Utopolo..Na Bado ...Hamjasema
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
jana walicheza mchezo mzuri tu, wa level zile kabisa, wanastahili.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Karibu Jamii Forum.
HAPA ni home of Great Thinkers.


UPUMBAVU WAKO FICHA KWA BIBI YAKO.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Huu uzi una mafunzo mengi sana kwa wasomaji. Wachangiaji wenye akili ndogo watamtukana mtoa mada matusi ya nguoni na pia kumtweza utu wake.

Ila wale wenzangu na mimi wenye akili kubwa, watamjibu mtoa mada kwa hoja. Na hiki ndiyo wengi tunakipenda hapa jukwaani.
Hakuna lolote, mtoa mada ni sawa na mjamzito akiwa kwenye uchungu. Ataongea chochote Ili kujipoza tu. Kama anajua mafumbo, aende akaimbe taarabu.
 
Wanao reply Matusi na Hoja za Kijinga Asimilia Kubwa Maisha Yao Yamesakamwa na Umaskini wa Afya ya Akili..!!

Mkuu Una Kiti Chako Mbinguni Waislamu Hua Tunapaita Peponi ...!!
Reply Yako Ipigwe Lamination na Iekwe Pinned Katika Kurasa
Huu uzi una mafunzo mengi sana kwa wasomaji. Wachangiaji wenye akili ndogo watamtukana mtoa mada matusi ya nguoni na pia kumtweza utu wake.

Ila wale wenzangu na mimi wenye akili kubwa, watamjibu mtoa mada kwa hoja. Na hiki ndiyo wengi tunakipenda hapa jukwaani.
Haswaaaa Suala la Kutandika Waarabu Katika Michuano ya CAF watuachie SIsi...!! Wao Wamsubiri Tatu Marobo
Simba imetumika kama Guinea Pig viti maalum kufanya amsha amsha za mashindano mapya tu sababu Ina mashabiki wengi mazuzu wa kujaza uwanja huku timu yao ikiwa Haina kombe lolote msimu wa tatu huu! Simba ni timu yenye promo zaidi duniani ila mpira ni papatu papatu!

Hao Al Ahly Simba imewashindwa sisi Yanga tutawakanda ndani nje, sisi ndio tunajua namna ya kumuadhibu mwarabu!
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
Simba kawahamasisha sana, hongera zenu.
 
Ukweli mchungu.

Tunachofurahia sisi kama Yanga ni kwamba tunajulikana kwa kufanya makubwa, hatujulikani kwa kutengenezewa matukio ambayo yanalazimisha tujulikane na kiwango ni kidogo sana.

Ni kweli timu yao inajulikana lakini sio kwa mambo ya mpira, kama ni fainali yoyote hawajacheza, kama ni medali yoyote hawana, kama ni makombe mengi hawana, ni utashi tu wa watu wao waliozoea michongo😀.

Yaani timu haijulikani kwa mambo ya mpira, utasikia sisi ni Timu Kubwa Africa wakati wanaishia Fobo Fainali hadi Mapinduzi Cup na hii nayo ndio kama mnavyoona. Kikubwa kujisifia mambo yasiyo ya kimpira kama kupostiwa na page za michezo, yaani ni utoto mtupu kwanzia viongozi, walivyoitwa mbumbumbu hawakukosea kabisa.

Sisi tutafahamika kwa kupitia ujuzi na ubora wa ndani ya uwanja tu, hatutaki mambo mengine.

NB; Kuna tofauti sanaa kati ya timu bora na timu maarufu, yenu sio bora ni maarufu.😂🤝
Na bado hamjasema, mtasema mpaka mnapokunya chooni. Mnyama ni level zingine. Levels zenu ni Ihefu mataahira nyinyi
 
Huu uzi una mafunzo mengi sana kwa wasomaji. Wachangiaji wenye akili ndogo watamtukana mtoa mada matusi ya nguoni na pia kumtweza utu wake.

Ila wale wenzangu na mimi wenye akili kubwa, watamjibu mtoa mada kwa hoja. Na hiki ndiyo wengi tunakipenda hapa jukwaani.
Tunamkabili kama alivyokuja huyu funza wa kijani kutoka vyura FC
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wakati mwingine mkitukanwa msiwe mnalaumu. Maana kuna nyuzi nyingine mnaanzisha za kikuda kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Na bado hamjasema, mtasema mpaka mnapokunya chooni. Mnyama ni level zingine. Levels zener ni Ihefu mataahira nyinyi
Jumanne mechi ya marudiano na Al Ahly utakuja hapa na stori ya kubeba kombe la Africa Super cup la kufa kiume! Inajulikana mtapigwa kama ngoma! Mtakandwa 5!

CAF wanajua Simba Ina promo sana na mashabiki wengi mazuzu wanaojaza uwanja ndo maana wakaichagua kufungua ligi Yao mpya ila wanajua sana pia kuwa Simba inasindikiza tu madume ya mamba kina Al Ahly, Esperance na Mamelodi!

Mechi zenu ni mbili tu!! Al Ahly waliwapiga goli mbili tu kwa Mkapa wakiwa na huzuni ya ndugu zao wapalestina japo ndio zilimaliza mwendo wa Simba kwenye haya mashindano japo hakuna Cha kushangaza Kwa hii Simba ya papatu papatu!

Ngoja Al Ahly waje wacheze na Yanga ndo utaujua mziki wa Max Nzengeli na Yao yao!
 

Attachments

  • VID-20231022-WA0001.mp4
    1.2 MB
Jumanne mechi ya marudiano na Al Ahly utakuja hapa na stori ya kubeba kombe la Africa Super cup la kufa kiume! Inajulikana mtapigwa kama ngoma! Mtakandwa 5!

CAF wanajua Simba Ina promo sana na mashabiki wengi mazuzu wanaojaza uwanja ndo maana wakaichagua kufungua ligi Yao mpya ila wanajua sana pia kuwa Simba inasindikiza tu madume ya mamba kina Al Ahly, Esperance na Mamelodi!

Mechi zenu ni mbili tu!! Al Ahly waliwapiga goli mbili tu kwa Mkapa wakiwa na huzuni ya ndugu zao wapalestina japo ndio zilimaliza mwendo wa Simba kwenye haya mashindano japo hakuna Cha kushangaza Kwa hii Simba ya papatu papatu!

Ngoja Al Ahly waje wacheze na Yanga ndo utaujua mziki wa Max Nzengeli na Yao yao!
Unaumia kutoka wapi we dada? Haya vua pampers kajioshe uchafu. Nawambia Simba inawapa maumivu mpaka mnapata hedhi za ghafla
 
Back
Top Bottom