Ukweli mchungu simba hawezi fuzu kwenye kundi lake

Ukweli mchungu simba hawezi fuzu kwenye kundi lake

chala41

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
300
Reaction score
606
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home na bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbuka kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home ba bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbula kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Alisikika utopolo wahed ktk kibanda cha gongo
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home ba bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbula kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Upo sahih, kulingana na makundi yalivyo, yanga ananafasi kubwa ya kufuzu kuliko simba.
 
Kwenye mpira lolote linatokea mzee Yanga walifungwa tatu bila msimu uliopita na waarabu huko kwao wao wakaja kushinda nne kwa bila ili wapite jamaa wangepata goli moja tu Yanga angebaki mpira una matokeo ya kikatili sana aisee walianza kuzuia ikashindikana baadae kocha akawaambia basi watafute goli moja wanapita napo ikashindikana..
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home ba bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbula kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Duh! Kwa mwandiko huu..... Muda utaongea we endelea kupiga ramli tu
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home ba bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbula kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Umeona mbali, huu ndio ukweli wenyewe.
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home na bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbuka kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Hili kundi linaweza amuliwa na Magoli.
 
Simba kwavile walishawahi kupitia mazingira magumu kama ya namna hii kwa mara nyingi na akafuzuzu hivyo haitakuwa ni jambo ngeni kwao.
Japo naomba tu watolewe kitu ambacho naona ni kigumu kwavile Simba wana bahati nzuri na michuano ya CAF. Angalia mechi mbili za Dar, Bravo walikuwa wanapata sare au kushinda. Na ile ya CS Sfaxien ngoma ilikuwa inaenda sare ile lakini bahati iliangukia kwao.
Mzigo ili unoge hapo ni kwamba
Raundi ya 4
Simba vs CS Sfaxien ( CS Sfaxien ashinde)
Constantine vs Bravo ( draw)

Raundi ya 5
Bravo vs Simba ( Bravo ashinde)
Constantine vs CS Sfaxien ( Constantine ashinde

Ngoma ikiwa hivi hapo ni kushinei hata mtu ashinde magoli 50 mechi ya mwisho.

1) Bravo point 10
2) Constantine point 10
3) Simba point 6
4) CS Sfaxien
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home na bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbuka kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Na vipi kuhusu Yanga? Bila shaka yeye atavuka sio? Ahahahahaha!!
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home na bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbuka kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Muda utatoa jibu ...
 
Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Utopolo wenzio wote waliotoa unabii kadhaa hapo nyuma, waliusindikiza unabii huo na ahadi kwamba usipotimia watatoa tIGo. Bila shaka na wewe upo pamoja nao kwamba Simba ikifuzu uliwe tIGo
 
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi amstopishe bravo ugenini na kitu kigumu kwa wale jamaa mana wameshaona simba ni wepesi kwa hiyo itakuwa mechi ngumu sana na jamaa watapambana mana wapo nyumbani na wanahitaji point 3

Mechi ya simba cosnstantine na bravo ni ngumu constantine kufungwa home na bravo hivyo constantine atapambania alama tatu zake na kumbuka kila mmoja bado ana mechi na
Cs faxien

Mpaka mwisho wa picha kundi litakuwa hivi

Braves pts 12
Constantine 12
Simba 9
Cs sfaxien 3

Kiufupi kwa simba ni innalilah wainna ilaih rajiuna.

Simba tukutane msimu ujao wa champion league
Badala ujadili jinsi gani utakavyouondoa huo mwiko huko nyuma unakaa unajadili mambo ya wanaume
 
Back
Top Bottom