silver_back
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 833
- 813
Bado wewe ni mjinga. Hujui maana ya tawi.Umeelewa kilichoandikwa au nikufanyie tafsiri. Simba iliundwa na wachezaji waliojiengua kutoka Yanga. Wachezaji walioanzisha simba walikuwa wachezaji wa yanga. Kama na hapa hujaelewa basi try again atakuwa ana kazi kubwa sana
Huu ndio ukweli wenyewe.Young Africans Sports Club, also known as Yanga, is a Tanzanian football club based in Twiga Street, Jangwani, Dar es Salaam. The club's home games are played at the National Stadium. It is one of the two biggest football clubs in Tanzanian football
Subsequent to its establishment in 1935, its members squabbled over their team's poor performance and results. The club had an even poorer and unsatisfactory performance in 1936 that caused some of the members to split and form another team. The proponents of breaking away were Arabs who saw fit to cause conflict among the club members that led to a split. They succeeded and together with dissidents, formed a club known as Queens F.C. The name was later changed to Sunderland and then to Simba S.C. which is the club's current name.
The two teams, Young Africans S.C. (Yanga) and Simba S.C. have been rivals ever since. The teams make up one of the most entertaining, eye-catching and talked about derbies in Africa. Young Africans has won more derby matches than Simba.
The team's colours are yellow, green and black. Yanga has won more Tanzanian Premier League titles (27 titles) than any other Tanzanian football club.
https://en.m.wikipedia.org/wiki/Young_Africans_S.C.
cc: Hajar
sembo na wanasimba wote
Jamaa bado simba damu, wakicheza na simba mahaba yanamzidi anacheza chini ya kiwango dhidi ya timu yake pendwa.
Pozeni Koo na hii kitu safi kutoka Jangwani
Na hiyo wataikataa. Watapinga kwa nguvu zote. Basis watwambie historia yao, walitokea wapi?Huu ndio ukweli wenyewe.
Sunderland ambao baadae wakajiita simba ni sawa na Hawa aliyetoka ubavuni mwa Adam.
Ndivyo ilivyo simba (Hawa) kwa Yanga (Adam)
Swali: Kama walitokea ubavuni mwa Yanga Sc, na wakapewa jina LA Queen Fc, Je hapo ni nani alikuwa King?Na hiyo wataikataa. Watapinga kwa nguvu zote. Basis watwambie historia yao, walitokea wapi?
Kwel kingereza kigumu 🤣🤣🤣🤣🤣Akili zako hewa, basi na Manchester city ni tawi la man united, toto African ni tawi la pamba west ham ni tawi la arsenal.
Chadema ni tawi la ccm acha kukurupuka
Siamini kama tatizo lako ni lugha iliyotumika.Akili zako hewa, basi na Manchester city ni tawi la man united, toto African ni tawi la pamba west ham ni tawi la arsenal.
Chadema ni tawi la ccm acha kukurupuka
Nakuacha ulivyoSiamini kama tatizo lako ni lugha iliyotumika.
Unazani ni kiarabu hicho?? Kwa hiyo faru dume ya nzese viongozi wake wakiondoka na kuunda chama lingine means hilo chama litakuwa tawi la nzese think twiceKwel kingereza kigumu 🤣🤣🤣🤣🤣
Unaelewa maana ya Tawi.Umeelewa kilichoandikwa au nikufanyie tafsiri. Simba iliundwa na wachezaji waliojiengua kutoka Yanga. Wachezaji walioanzisha simba walikuwa wachezaji wa yanga. Kama na hapa hujaelewa basi try again atakuwa ana kazi kubwa sana
Mkuu, kulingana na habari yako, waliojitenga na kuanzisha timu si wachezaji bali ni wanachama wa Yanga. Isome vyema habari yako MkuuUmeelewa kilichoandikwa au nikufanyie tafsiri. Simba iliundwa na wachezaji waliojiengua kutoka Yanga. Wachezaji walioanzisha simba walikuwa wachezaji wa yanga. Kama na hapa hujaelewa basi try again atakuwa ana kazi kubwa sana
Hivi Kweli mnaojiita wasomi, Hamjui maana ya Tawi.Kama mtu anakubali kuwa CCM ndo mzazi wa vyama vingine vya upinzani, Roman Catholic ndo mzazi wa madhehebu mengine ya kikristo, ila anashindwa kukubali kwamba Yanga ndo baba wa Simba basi ujue kuna tatizo mahali katika akili yake!
Mtumie bure akili, mlizo pewa Mwenyezi Mungu, kuchanganua Mambo, wachezaji hawamiliki timu.Na hiyo wataikataa. Watapinga kwa nguvu zote. Basis watwambie historia yao, walitokea wapi?
Fala wewe