Ukweli mchungu: Tatizo sio Polisi bali Serikali

Ukweli mchungu: Tatizo sio Polisi bali Serikali

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.

Nimesikitishwa na maamuzi ya kamati kuu ya ccm kutaka jeshi la police lichunguzwe kwa sababu eti wananchi wamepoteza imani nalo. Najiuliza hivi kweli serikali ya ccm haijui matatizo ya jeshi lao sikivu na tiifu kwao? Hivi kweli serikali ya CCM haijui kwanini tumefika hapa?

Jeshi la police limefanya maovu mengi ili tu ccm waendelee kutawala na kujinufaisha wao na vizazi vyao. CCM wamejineemesha wenyewe na kuwasahau Police katika ukata mkubwa kiasi cha kuwa wahalifu kwa kupora wananchi mali zao, kuwabambika kesi na kisha kuwadai rushwa unagemea wananchi watakuwa na imani?

Police wametelekezwa na serikali wakiwa na matatizo ya kutosha kama vile;
1. Mishahara duni.
2. Makazi duni.
3. Mavazi wanajinunulia.
4. Lishe duni.
5. Mazingira magumu kazini.
6. Vitendea kazi duni n.k.

Hapo unategemea police wafanye nini zaidi ya kujitafutie riziki kwa njia haramu za kuwaumiza wananchi. Angalia jinsi police walivyompora pesa na kisha kumuua mfanyabiashara mtwara, angalia tukio la hamza n.k unategemea wananchi watawapenda? Ccm na jeshi la police mnachukiwa sana na raia msidanganye mnapendwa, siku mkipitisha katiba mpya ndo mwisho wenu mnatawala kwa mabavu.
 
Mwenyekiti Kikwete alianza hili tatizo muda mrefu na akawaambia Kamati Kuu lakini walimsikiliza tuu bila kulishughulikia hili.
Kwani sioni jipya leo juu hili tamko
 
Wasalaam.

Nimesikitishwa na maamuzi ya kamati kuu ya ccm kutaka jeshi la police lichunguzwe kwa sababu eti wananchi wamepoteza imani nalo. Najiuliza hivi kweli serikali ya ccm haijui matatizo ya jeshi lao sikivu na tiifu kwao? Hivi kweli serikali ya ccm haijui kwanini tumefika hapa?

Jeshi la police limefanya maovu mengi ili tu ccm waendelee kutawala na kujinufaisha wao na vizazi vyao. Ccm wamejineemesha wenyewe na kuwasahau police katika ukata mkubwa kiasi cha kuwa wahalifu kwa kupora wananchi mali zao, kuwabambika kesi na kisha kuwadai rushwa unagemea wananchi watakuwa na imani?

Police wametelekezwa na serikali wakiwa na matatizo ya kutosha kama vile;
1. Mishahara duni.
2. Makazi duni.
3. Mavazi wanajinunulia.
4. Lishe duni.
5. Mazingira magumu kazini.
6. Vitendea kazi duni n.k.

Hapo unategemea police wafanye nini zaidi ya kujitafutie riziki kwa njia haramu za kuwaumiza wananchi. Angalia jinsi police walivyompora pesa na kisha kumuua mfanyabiashara mtwara, angalia tukio la hamza n.k unategemea wananchi watawapenda? Ccm na jeshi la police mnachukiwa sana na raia msidanganye mnapendwa, siku mkipitisha katiba mpya ndo mwisho wenu mnatawala kwa mabavu.
Hatimaye ndoa ya ccm na poli-si inaelekea kuvunjika Asante Mungu wetu endelea kuwafitinisha watesi wa Watanzania....
 
Wasalaam.

Nimesikitishwa na maamuzi ya kamati kuu ya ccm kutaka jeshi la police lichunguzwe kwa sababu eti wananchi wamepoteza imani nalo. Najiuliza hivi kweli serikali ya ccm haijui matatizo ya jeshi lao sikivu na tiifu kwao? Hivi kweli serikali ya ccm haijui kwanini tumefika hapa?

Jeshi la police limefanya maovu mengi ili tu ccm waendelee kutawala na kujinufaisha wao na vizazi vyao. Ccm wamejineemesha wenyewe na kuwasahau police katika ukata mkubwa kiasi cha kuwa wahalifu kwa kupora wananchi mali zao, kuwabambika kesi na kisha kuwadai rushwa unagemea wananchi watakuwa na imani?

Police wametelekezwa na serikali wakiwa na matatizo ya kutosha kama vile;
1. Mishahara duni.
2. Makazi duni.
3. Mavazi wanajinunulia.
4. Lishe duni.
5. Mazingira magumu kazini.
6. Vitendea kazi duni n.k.

Hapo unategemea police wafanye nini zaidi ya kujitafutie riziki kwa njia haramu za kuwaumiza wananchi. Angalia jinsi police walivyompora pesa na kisha kumuua mfanyabiashara mtwara, angalia tukio la hamza n.k unategemea wananchi watawapenda? Ccm na jeshi la police mnachukiwa sana na raia msidanganye mnapendwa, siku mkipitisha katiba mpya ndo mwisho wenu mnatawala kwa mabavu.
Katiba inawakataza polisi kujihusisha moja kwa moja na siasa, ikiwa ni pamoja na kufanya upendeleo kwa chama chochote.
Kazi ya polisi ni kazi ya heshima kuliko wanasiasa kwa anayetenda haki kwa raia wote.
Ujinga wa makamanda ndiyo unaosumbua nchi na kuwaletea lawama.
 
Kumbuka ccm ni wa kwanza kuikojolea katika na kuitia najisi police wanacopy na kupest njaa inawahangaisha mpaka wameamua kuwa majambazi na waporaji.
Katiba inawakataza polisi kujihusisha moja kwa moja na siasa, ikiwa ni pamoja na kufanya upendeleo kwa chama chochote.
Kazi ya polisi ni kazi ya heshima kuliko wanasiasa kwa anayetenda haki kwa raia wote.
Ujinga wa makamanda ndiyo unaosumbua nchi na kuwaletea lawama.
 
Back
Top Bottom