"Ukweli Mchungu: Tunavyowatajirisha Motivational Speakers Wanaotudanganya kwa Maneno Matamu!"

Kweli kabisa just we need to follow up principle kutokana na malengo yako Incase wewe ni mkulima kuwa active sana na mazao yako ujue namna ya ku take care spend time ukiangalia mazao yako ila Incase wewe ni mfanyabiashara utaji tune kuwahi kwenye biashara yako, kuandaa mazingira vizuri, kujifunza kuhusu biashara yako na pia kujua namna ya kudaka wateja.

Just follow your principle according to your specific job
 
Sasa kwani ni lazima uende kwa Mihadhara yao?Au kuwasikiliza huoo ni Unaaa in Mremaaa Voice Mzee wa Kiraracha
 
Hao matapeli sijawahi kuwaelewa, naona n wapiga kelele mana sijawahi kuona jipya au kujifunza kitu kipya kutoka kwao.
 
Haitakiwi kufocus kwenye outcome(Mafanikio) na motivational speakers wengi ndio hufocus kwenye hili suala hawezi kukufundisha risk management, how you should network with people wao Wana kuinspire tu
Hua mtu akiwa na wazo la biashara akapapatika na faida hua najua kabisa huyu kumiliki pesa itakua ngumu, mfano kuna watu huanzisha kampuni , direct unakuta mfano anajiregister kwenye platform za masoko na mauzo ya bidhaa au mazao, anapata tenda, akirudi field sasa Ile sample aliyodisplay anakuta akikusanya Sana hafikishi mahitaji kesho anaonekana mbabaishaji , watu wanatoa oda kwingine wanapata mzigo Bora ukija kurudi hawakutilii maanani, kwa sababu akili yako ililenga faida zaidi kuliko ungeanzia field wewe mwenyewe ukaona uhalisia , inasikitisha Sana ukiwaeleza wanahisi unawazibia riziki
 
Unafundishwa namna ya kupika theoretically you won't master na ndio hawa watu wanachofanya
 
Kuna aliyewaambia watu "Nilimiliki hoteli hii kwa kuanza na kijiko Kimoja"..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Start small and grow" aanza kidogo na endelea kukua. Hii inamaanisha kuwa usijilazimishe kuanza na mambo makubwa sana, badala yake anza na hatua ndogo zinazowezekana, kisha jenga msingi imara na endelea kukuza ujuzi wako hatua kwa hatua(motivational speaker hawezi kukuambia hili).
Hii inatumika kwenye kila jambo kujifunza, kuanzisha biashara, au hata kufanikisha malengo makubwa. Unapojifunza kitu kipya, anza na misingi, fanya mazoezi kila siku, na polepole utaona maendeleo makubwa.

But kwa hawa wadau wa motivation ataishia kukupa maneno ya kukudanganya tu na kuvutia. Ila it's a known fact nothing is simple unless you take step
 
kumbe wewe ndio umeshtuka leo! Mimi sijawahi hata kuwafuatilia, huwa nakutana nao kwa BAHATI MBAYA huko mitandaoni. hizo harakati zao watawapata MAPIMBI tu. maisha ya mTanzania ni HARDWARE sio hayo mambo ya SOFTWARE.
 
kumbe wewe ndio umeshtuka leo! Mimi sijawahi hata kuwafuatilia, huwa nakutana nao kwa BAHATI MBAYA huko mitandaoni. hizo harakati zao watawapata MAPIMBI tu. maisha ya mTanzania ni HARDWARE sio hayo mambo ya SOFTWARE.
πŸ˜‚Wakina Chief G
 
Kuna nn kwenye h nyimbo boss πŸ˜‚
Ule wimbo aiseh

Ni kweli mahudhui yanaenda na harakati za maisha na huzuni na upweke kiasi fulani

Lakini kwa sisi kila motivation speaker wa hapa bongo

Anahitaji kukumotivate lakini bado atatumia ule wimbo ingali ule wimbo mahudhui yake mengi ni ya kuhudhunisha

Hii sio poa kabisa πŸ˜…

Unajipata haupo motivated tena bali ni unajijengea ka comfort zone ambako ndiko anguko lako

Lililokamili hakika,madogo wa 2000 huwaambii kitu kwa hawa motivation wa tik toker
 
πŸ˜‚Wakina Chief G
Na huyo ni moja ya wapumbavu anakuunga kwenye group ukafanikiwe anapiga lakilaki zako kizembe, kwa mfano anakuja mtu na hoja kua ingia kwenye hii crypto , weka kiasi fulani na ukileta na mtu mwingine akajiunga unapata kiasi fulani , kumbuka huyo mtu asipokitapeli Leo kesho lazima ulie maana kwenye kutafuta mtu hakupi pesa atakupa njia za kupata pesa na hatogusa pesa yako, kama anahitaji mtaji ukue kwa nini asiende kwenye taasisi za kifedha akakope aongeze pesa kule ili izae haraka then arudishe mkopo abaki na faida , jibu rahisi mtu huyo haaminiki na hakopesheki ndio maana anataka autumie pesa za wewe mjinga, kuna vitu ukivifikiria unabaki na maswali kuliko majibu
 
Tunayaongea haya mambo hapa JF ila Kuna watu wataendelea kulizwa huko kila kukicha.
 
Kuna nn kwenye h nyimbo boss πŸ˜‚
Ule wimbo aiseh

Ni kweli mahudhui yanaenda na harakati za maisha na huzuni na upweke kiasi fulani

Lakini kwa sisi kila motivation speaker wa hapa bongo

Anahitaji kukumotivate lakini bado atatumia ule wimbo ingali ule wimbo mahudhui yake mengi ni ya kuhudhunisha

Hii sio poa kabisa πŸ˜…

Unajipata haupo motivated tena bali ni unajijengea ka comfort zone ambako ndiko anguko lako

Lililokamili hakika,madogo wa 2000 huwaambii kitu kwa hawa motivation speaker wa tik toker
 
πŸ˜‚ Kwanini mkuu?
Mambo mengi muda mrefu wa kuishi kwa mateso ukikosea step hapa Tanzania.
Mkuu motivational speaker ni watu wazuri sana usipo waelewa.

Mimi niliingiaa kwenye mtego baada ya kumotivetiwa na watu kama haoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Maliasili niliwajuaaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Bwana wee nikaona mambo ya Masanja kulima Mpunga..nikaenda...
Mvuaaa ilaaniwe,,,,mpunga umekuwa unawaka waka..Bwana wee kumbe mwaka juzi mwaka jana lile vua lile lenyewe,Mto ukahamia kwangu na kwa majiraniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nimeona Bwawa shambani badala ya mpunga.

Sikuchoka mwaka huu nikarudi tena..wewe hii juu yenye inawaka achana nayo.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Naelewa kwanini watu wanalima Bangi kule Milimani Morogoro.

Tusikate tamaa tupige kazi ,ila si kwa kuwa motivated na wahuni wahuni.

Mambo ni magumu ukija kwenye battlefield..ukilegeza tu huna viungo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…