na timu imeingia robo fainali tano za CAF tangu ainunueKwenye biashara hapakosi Janjajanja
Pale Simba SC aka Makolo yule Mo amesema tangu ainunue Hiyo Timu ameshawekeza zaidi ya tsh 51 billion ๐๐๐
Ummy kwenye hii serikali na mawazii wenzake yani wanajiamulia tu.Watu mnaopigia debe vifurushi vipya vya NHIF mnapaswa kutafakari kwa umakini sana. Hivi vifurushi vipya ni vya kipuuzi na ovyo kuliko kikotoo na sheria mpya ya mafao kwa wenza wa vigogo.
Kigezo kimoja tu kinachotumiwa kuwapinga AFTHA ni kukosa ubinadam....kwamba walipaswa kutoa notice ya siku 90. Hiki ndicho kichaka ambacho serikali inajificha. Lakini vipi kuhusu NHIF kubadilisha bei ya vifurushi bila kutoa notice kwa watoa huduma au wao hawahitaji kutoa notice? Nafahamu unapoingia mkataba unaingia pia mkataba wa bei za dawa na huduma. Ukibadilisha bei maana yake umevunja mkataba hivyo mnapaswa kukaa mezani na mtoa huduma kubadilisha vipengele vya mkataba au kuingia mkataba mpya.
Nawahakikishia hivi vifurushi vipya ni kandamizi kwa mteja ndio maana waziri Ummy alivisitisha. Kwanini NHIF wanataka kuvipitisha kibabe kwa maslahi yao binafsi badala ya kuzingatia maslahi mapana ya wanachama (wagonjwa)? Huoni kuwa NHIF wanatumia mwanya huu kuwahujumu na kuwakandamiza wanachama wao?
Huu ujinga wanaofanya NHIF ni zaidi ya ule wa kikokotoo kilichopambwa na kupigiwa debe sana na serikali. Mwanzoni kulikuwa na wajinga fulani walioingia mkenge na kukikubali kikokotoo lakini sasa kila mtu analia.
Serikali hii haijawahi kufanya mabadiliko yanayomnufaisha mlalahoi. Mfano halisi ni hii sheria ya kipuuzi ya mafao kwa wake za viongozi. Wanakomba fedha zote za taifa kukipa kikundi cha wachumiatumbo wachache huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umasikini wa kupindukiaโ๏ธ
View attachment 2922317
Nchi hii ina mambo ya kipimbi sijawahi kuona aisee!Ummy kwenye hii serikali na mawazii wenzake yani wanajiamulia tu.
Imagine Wizara ya viwanda yule bibi Kijaji kaweka ofisi yake pale BRELADAr kakimbia dodoma ili aishi nyumba yake iliyopo Dar.
BRELA wanaendesha seminar nchi nzima wanasema wanahamasisha watu wajisajili kwa kulipama mabilioni ya fehs.
Yaani hawa wapuuzi wameondoa dawa 178 na vifaatiba 15 kutoka kwenye kifurushi kipya wanataka watanzania wafe kwa kukosa tiba? Sijawahi kuona nchi ya kiqumer kama Tanzania.Watu mnaopigia debe vifurushi vipya vya NHIF mnapaswa kutafakari kwa umakini sana. Hivi vifurushi vipya ni vya kipuuzi na ovyo kuliko kikotoo na sheria mpya ya mafao kwa wenza wa vigogo.
View attachment 2938252
Kigezo kimoja tu kinachotumiwa kuwapinga AFTHA ni kukosa ubinadam....kwamba walipaswa kutoa notice ya siku 90. Hiki ndicho kichaka ambacho serikali inajificha. Lakini vipi kuhusu NHIF kubadilisha bei ya vifurushi bila kutoa notice kwa watoa huduma au wao hawahitaji kutoa notice? Nafahamu unapoingia mkataba unaingia pia mkataba wa bei za dawa na huduma. Ukibadilisha bei maana yake umevunja mkataba hivyo mnapaswa kukaa mezani na mtoa huduma kubadilisha vipengele vya mkataba au kuingia mkataba mpya.
Nawahakikishia hivi vifurushi vipya ni kandamizi kwa mteja ndio maana waziri Ummy alivisitisha. Kwanini NHIF wanataka kuvipitisha kibabe kwa maslahi yao binafsi badala ya kuzingatia maslahi mapana ya wanachama (wagonjwa)? Huoni kuwa NHIF wanatumia mwanya huu kuwahujumu na kuwakandamiza wanachama wao?
Huu ujinga wanaofanya NHIF ni zaidi ya ule wa kikokotoo kilichopambwa na kupigiwa debe sana na serikali. Mwanzoni kulikuwa na wajinga fulani walioingia mkenge na kukikubali kikokotoo lakini sasa kila mtu analia.
Serikali hii haijawahi kufanya mabadiliko yanayomnufaisha mlalahoi. Mfano halisi ni hii sheria ya kipuuzi ya mafao kwa wake za viongozi. Wanakomba fedha zote za taifa kukipa kikundi cha wachumiatumbo wachache huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umasikini wa kupindukiaโ๏ธ
View attachment 2922317