Ukweli mchungu wa kuwa mwanaume

Ukweli mchungu wa kuwa mwanaume

Infinite_Kiumeni

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2023
Posts
382
Reaction score
687
Mwanaume unathaminiwa kutokana na uthamani unaotoa kwenye jamii.

Harakati zako na mapambano yako vitaonekana vya maana pale tu unapofanikiwa.

Lakini kabla ya hapo utaonekana tu kama kijana azururaye.

Hakuna atakayekujali sana wakati unapambana kiasi gani.

Hakuna atayesema ngoja nichukue shida zako zote nikusaidie we wala usiteseke.

Hakuna atakayekuambia we umeteseka sana acha nikusaidie we pumzika.

Ila inabidi upambane mwenyewe.

Wengi wanaongelea wanawake kupata nafasi tofauti tofauti kirahisi.

Hilo halijalishi, hauna haja ya kulingana na mwanamke.

Sababu mwanamke tangu amezaliwa ana uthamani lakini mwanaume inabidi utengeneze, ukuze na utunze uthamani wako hadi siku unaaga dunia.

Muda wote unatengeneza uthamani usichoke kupambana, usilalamike sana, usiache malengo yako na pia usipelekeshwe na mwanamke yeyote (mama yako akiwemo) ila unaweza kuwasikiliza maoni yao na usiwadharau.
 
Mwanaume unathaminiwa kutokana na uthamani unaotoa kwenye jamii.

Harakati zako na mapambano yako vitaonekana vya maana pale tu unapofanikiwa.

Lakini kabla ya hapo utaonekana tu kama kijana azururaye.

Hakuna atakayekujali sana wakati unapambana kiasi gani.

Hakuna atayesema ngoja nichukue shida zako zote nikusaidie we wala usiteseke.

Hakuna atakayekuambia we umeteseka sana acha nikusaidie we pumzika.

Ila inabidi upambane mwenyewe.

Wengi wanaongelea wanawake kupata nafasi tofauti tofauti kirahisi.

Hilo halijalishi, hauna haja ya kulingana na mwanamke.

Sababu mwanamke tangu amezaliwa ana uthamani lakini mwanaume inabidi utengeneze, ukuze na utunze uthamani wako hadi siku unaaga dunia.

Muda wote unatengeneza uthamani usichoke kupambana, usilalamike sana, usiache malengo yako na pia usipelekeshwe na mwanamke yeyote (mama yako akiwemo) ila unaweza kuwasikiliza maoni yao na usiwadharau.

Lazima kuna mazingira na changamoto umekutana nazo, na zimekuimarisha, huo ndo uanaume, kazi iendelee.
 
Pata pesa, Kama mond, umiliki toto Kali, zinajigonga zenyewe, zinasusa na kushoboka.
 
siri ya mwanaume duniani ni nguvu na utawala kupambana ata kama tunayumbishwa na wakina hawa kamwe tusikate tamaa asiri ya MUNGU mkuu ipo ndani yetu ya mamlaka yote
 
Back
Top Bottom