UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa


Mnara wa Mlinzi, Mei 2022Kitabu cha Ufunuo Kinamaanisha Nini kwa Maadui wa Mungu?



  • 14 Mtume Yohana anasema kwamba ‘alishangaa sana’ kuona jambo lingine. Ni jambo gani hilo? Mwanamke alikuwa amekaa juu ya mmoja wa wanyama hao wakali wa mwituni. (Ufu. 17:1, 2, 6) Anatajwa kuwa “kahaba mkubwa” naye anaitwa “Babiloni Mkubwa.” Anafanya “uasherati” na “wafalme wa dunia.”—Soma Ufunuo 17:3-5.
    15
    “Babiloni Mkubwa” ni nani? Mwanamke huyo hawezi kufananisha mashirika ya kisiasa kwa sababu anatajwa kuwa anafanya uasherati na viongozi wa serikali za ulimwengu. (Ufu. 18:9) Isitoshe, anajitahidi kuwaongoza watawala hao, na kwa njia ya mfano ni kama ameketi juu yao. Pia, hawezi kufananisha mifumo ya kibiashara yenye pupa ya ulimwengu wa Shetani. Mifumo hiyo inatajwa katika sehemu nyingine za kitabu cha Ufunuo kuwa “wafanyabiashara wa dunia.”—Ufu. 18:11, 15, 16.
    16 Katika Biblia, neno “kahaba” linaweza kumaanisha wale wanaodai kumtumikia Mungu lakini wanajihusisha katika aina fulani ya ibada ya sanamu au kwa njia nyingine wanakuwa marafiki wa ulimwengu. (1 Nya. 5:25; Yak. 4:4) Kinyume na hilo, wale wanaomwabudu Mungu kwa uaminifu wanatajwa kuwa “safi” au “mabikira.” (2 Kor. 11:2; Ufu. 14:4) Babiloni la kale lilikuwa kituo kikuu cha ibada ya uwongo. Basi, ni lazima Babiloni Mkubwa anafananisha aina zote za ibada ya uwongo. Isitoshe, yeye ni milki ya ulimwenguni pote ya dini za uwongo.—Ufu. 17:5, 18; tazama makala
 
Na kwanini uhame kwa ajili ya dhambi binafsi za mtu?
Dhambi na uovu wa papa utafanya vipi we uhame

Umeshabarikiwa kanisani?

Umeisoma post namba moja? Una nini la kusema kuhusu hilo?
Chanzo si sahihi. Ni umbeya mtupu. Mtu mwingine hawezi kuwa chanzo sahihi Cha masuala ya familia yako. Hata wewe mwenyewe usingekubali, lakini kwa vile ni mambo ya Kanisa Katoliki unaona ni sawa tu, eti?
 
Umeshabarikiwa kanisani?

Umeisoma post namba moja? Una nini la kusema kuhusu hilo?
Mie sina shida na dini za majahazi ,,,,nawashangaa tu nyie wamatumbi ambao mishipa inawatoka kukomalia kutetea tamaduni za mzungu na mwarabu, hao wakatoliki wakitaka wafumuliwe marinda ,wafumiliwe tu maana ni yao, na hata nyie kobazi fateni suna zenu za kuchinjana na kutunukiwa mabikira huko mbinguni kwenu,,,,,ila sie tutabaki na asili zetu
 
Ungeuelewa Uislam ungeelewa kuwa sisi ndiyo tuliwapelekea Wazungu na Waarabu.

Lakini kwa kiwango chako sidhani kama una uwezo wa kujisomea mwenyewe ukaelewa.
 
Ungeuelewa Uislam ungeelewa kuwa sisi ndiyo tuliwapelekea Wazungu na Waarabu.

Lakini kwa kiwango chako sidhani kama una uwezo wa kujisomea mwenyewe ukaelewa.
Bwana we wote matapeli,,,,kuna haja ya kusoma wakati wazee walishatusomesha kila kitu kwenye dna,,,,,,,nyie endeleeni na utapeli wenu na hao maboya mliowapata ila jueni sio kila mtu ni boya wenu,,,,endeleeni kulamba miguu ya hao mabwana zenu.
.....
.wamisri tena wale weusi sio hao waarabu wenu ndo wameipa dunia kila kitu kuanzia kwa mwarabu na mzungu.....kutoka kemet ndo zikatengenezwa hizo dini za waislam na wakristo ila asili ya hayo yote ni hapa halafu unakimbilia ooh tumewapelekea uislam,,,,,,wamisri ndo wamewastaarabisha wazungu na waarabu na mfumo wao wa imani ndo huo kemetism,,,,ukielewa hio kitu hamna ustaadh na majini yake atakufanya kitu na wala hao wachungaji matapeli wakina Mwamposa hatawakufanya mteja wao
 

In fact, anatekeleza kwa siri mabadiliko ambayo wanaokataa watu wasimuabudu Mungu wamekuwa wanayatekeleza tangu karne ya 16, ilipoanza wanayoita enlightment age.
Papa Francis ambaye ni mchungaaji wa shirika la order of Jesus( Jesuits), toka awali hawa walikuwa askari wa miamvuli wa Pope na kanisa. Wamefanya kazi kubwa kulinda, kutetea na kusambaza ukatoliki pote ulimwenguni. Ila shetani amepeleka agents wake. Wamegeuka na wanataka kuliangusha kanisa. Mafundisho yao ya liberation theology ambayo yanamtukuza mtu kuliko Mungu yanasumbua sana leo. Ndio maana wanataka kuhalalisha dhambi sio dhambi, na makufuru mengine mengi.
 
Sina mapenzi yoyote kwa kanisa labda hujaelewa nilichoandika.

Ukitaka ukweli halisi kanisa na msikiti ndio adui namba moja wa Muafrica.

Ulaya hakuna kijana mfia dini, unajuwa kwa nini?
Tunatumia vibaya imani zetu. Tunadumaza akili zetu badala ya imani kutusaidia. Ila kuabudu Mungu ni wajibu wa kila mwanadamu
 
Si unaona ulivyo poyoyo, Uarabu hauna weusi wala weupe.

Wewe siyo mstaarabu?
 
Mbona povu? Kunani?
Povu gani la sabuni au la bahari ,wewe umekuja na fikra kama huyu muandishi anataka Wakristo mubadilishe dini yenu wakati kaandika ukweli tu sasa wewe kaa uko uko kwa mwamposaa usije kubadilisha. Sawa Demiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…