Ukweli mchungu : Wakristu na waislamu wote duniani ni ma " Apartheist"

Ukweli mchungu : Wakristu na waislamu wote duniani ni ma " Apartheist"

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Apartheism is a lack of interest or concern whether or not God exist.

Ukitazama matendo ya watu wanao jiita wakristu na waislamu utaona kabisa yanasadifu " Apartheism" . Matendo yao hayaonyeshi concern wala interest kwamba Mungu yupo.

Ingekuwa kinyume chake basi kusingekuwa na : wazinzi, majambazi, wezi, wasengenyaji, madhulmat, wauaji, nakadhalika nakadhalika.


..........

So mambo ya udini nakadhalika ni utaahira. Unakuwa vipi mdini wakati wewe mwenyewe matendo yako yanadhirisha kwamba you don't give a damn about whether God exist or not?
 
Apartheism is a lack of interest or concern whether or not God exist.

Ukitazama matendo ya watu wanao jiita wakristu na waislamu utaona kabisa yanasadifu " Apartheism" . Matendo yao hayaonyeshi concern wala interest kwamba Mungu yupo.

Ingekuwa kinyume chake basi kusingekuwa na : wazinzi, majambazi, wezi, wasengenyaji, madhulmat, wauaji, nakadhalika nakadhalika.


..........

So mambo ya udini nakadhalika ni utaahira. Unakuwa vipi mdini wakati wewe mwenyewe matendo yako yanadhirisha kwamba you don't give a damn about whether God exist or not?
Kwani watu kwenda shule na kuingia darasani hiyo ina guarantee kwamba atafaulu mtihani, hapana ila juhudi kwenye kusoma ndio ina guarantee ufaulu kwenye mtihani, hivyo mwenye bidii kwenye dini ndio atayefaulu mitihani
 
Kwa episodes hizi lazima wachanganyikiwe tu.
1740411674844.jpg
 
Binadamu hawapo perfect Lakini Mungu na neno lake ni perfect.

Kama mkristo au muislamu akifanya dhambi basi ni yeye na nafsi yake ila Mungu na vitabu/dini vinabaki kuwa perfect siku zote.

Ukisema binadamu hayupo perfect unajaribu kuelezea Jambo gani?
Kwamba Mungu alishindwa kuumba kitu au mtu perfect au ulimwengu perfect?
 
Ukisema binadamu hayupo perfect unajaribu kuelezea Jambo gani?
Kwamba Mungu alishindwa kuumba kitu au mtu perfect au ulimwengu perfect?
hakushindwa ila kama ni mtu mmoja ndio atakaa dunia ni sawa ila kama ni wengi lazima kuwe imperfection ili kubalance kama vile puzzle
 
Apartheism is a lack of interest or concern whether or not God exist.

Ukitazama matendo ya watu wanao jiita wakristu na waislamu utaona kabisa yanasadifu " Apartheism" . Matendo yao hayaonyeshi concern wala interest kwamba Mungu yupo.

Ingekuwa kinyume chake basi kusingekuwa na : wazinzi, majambazi, wezi, wasengenyaji, madhulmat, wauaji, nakadhalika nakadhalika.


..........

So mambo ya udini nakadhalika ni utaahira. Unakuwa vipi mdini wakati wewe mwenyewe matendo yako yanadhirisha kwamba you don't give a damn about whether God exist or not?
Binadamu tumeumbwa na Asili ya Dhambi!Wacha tuu tutafika kwa neema ya huyo Mungu.
 
Back
Top Bottom