Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Penye ukweli lazima pasemwe,
Maisha ya muziki yamebadilika sana ni tofauti na ya zamani. Huwa nahuzunika naposikia Interview ya msanii fulani wa zamani akisema "sahizi nipo mbioni narudi nina ngoma yangu mpya ipo jikoni hivyo mashabiki wangu wajiandae" unatamani kama umshauri hiyo Pesa anayohangaikia kutolewa nyimbo mpya afanyie kitu kingine cha maana kwani hawezi kupokelewa kama zamani akubali tu muda wake umepita aketi chini atafute maisha mengine tofauti na mziki.
Hawa wafuatao kamwe hawaji kuhit kama walivyo hit zamani , kama wanafanya basi wanalazimisha tu ili wasipotee midomoni mwa watu na wenye akili waliolisoma "game" wameamua kukaa pembeni.
Q Chilla
Mr Nice
Afande Sele
TID
Ray C
Chid Benz
Inspector Haroun
Madee
.
.
.
.
Ongezea na wewe.
Maisha ya muziki yamebadilika sana ni tofauti na ya zamani. Huwa nahuzunika naposikia Interview ya msanii fulani wa zamani akisema "sahizi nipo mbioni narudi nina ngoma yangu mpya ipo jikoni hivyo mashabiki wangu wajiandae" unatamani kama umshauri hiyo Pesa anayohangaikia kutolewa nyimbo mpya afanyie kitu kingine cha maana kwani hawezi kupokelewa kama zamani akubali tu muda wake umepita aketi chini atafute maisha mengine tofauti na mziki.
Hawa wafuatao kamwe hawaji kuhit kama walivyo hit zamani , kama wanafanya basi wanalazimisha tu ili wasipotee midomoni mwa watu na wenye akili waliolisoma "game" wameamua kukaa pembeni.
Q Chilla
Mr Nice
Afande Sele
TID
Ray C
Chid Benz
Inspector Haroun
Madee
.
.
.
.
Ongezea na wewe.