Ukweli mchungu: Watanzania tumezoea udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani. Kilichotokea Law school of Tanzania ni matokeo ya kuzoea udanganyifu

Ukweli mchungu: Watanzania tumezoea udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani. Kilichotokea Law school of Tanzania ni matokeo ya kuzoea udanganyifu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Mimi niliona hili tangu 2006 nilipohotimu darasa la saba, Mwalimu mkuu alipigana sana kuhakikisha anawapa majibu wanafunzi wake indirect.

Mimi sijapendezwa na ule mchezo, hakika sikushiriki. Niliona ni dhambi, pili niliona najiweza.

Sekondari 2010 wakati namaliza O -level sijaona ushiriki wa walimu kwenye kugawa majibu ila wanafunzi usiku wa Jumapili kuamkia jumatatu ya mitihani walikesha na possible za NECTA ila nahisi waliangukia pua. Maana walitoka kwenye paper la Math wakiwa wamevurugwa. Binafsi sikushiriki kwasababu za kiimani.

Nimefika A level 2013 the same situation wanafunzi walikesha na possible ila huku itakuwa walizipata zenyewe, maana niliona wamejawa furaha kila walipotoka kwenye paper moja hadi jingine.

Shule mzima tulifaulu vizuri . Wanafunzi 140 wote tulipata sifa za kujiunga na university.

Sasa hivi niko chuo fulani hapa Dar. , Bado mambo ya kuchangishana pesa kumpooza teacher nayaona. Kwakweli Watanzania wana elimu fake.

Huko Law School ukifanyika utafiti yatajulikana mengi.

Watu wengi uwezo wao mdogo lakini wanafika mpaka elimu ya juu na wengine baadaye huwa ma lectures vyuoni.

Iwekwe sheria kali juu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani kuanzia primary mpaka chuo kikuu.

Kwakufanya hivi tutapata wataalamu wa kweli. Niliongea na baba mmoja daktari mstaafu anasema hata wao walichanga kumpooza professor.
 
Elimu bongo ni wizi mtupu...ni mwendo wa kukariri yani wanafunzi wanashindana kukariri na kukumbuka vitu hakina la zaidi.

Kuna chuo cha afya kikubwa hapa nchini vijana wanaibiana sana hadi wametunga msemo wao wanaita vijiji vya ujamaa mana yake humo ni mwendo wa kuibiana majibu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nani wa kutunga sheria??? Watunga sheria ndiyo hao hao wanaowatumia Waalimu kufanya udanganyifu kwenye masanduku ya Kura Kisha wanatangazwa washindi. Leo atakuwa na uwezo gani wa kuwadhibiti Waalimu ambao wenyewe ndio waliowafundisha wizi/udanganyifu??
 
Nani wa kutunga sheria??? Watunga sheria ndiyo hao hao wanaowatumia Waalimu kufanya udanganyifu kwenye masanduku ya Kura Kisha wanatangazwa washindi. Leo atakuwa na uwezo gani wa kuwadhibiti Waalimu ambao wenyewe ndio waliowafundisha wizi/udanganyifu??
Ngumu kumeza
 
Habari!

Mimi niliona hili tangu 2006 nilipohotimu darasa la saba, Mwalimu mkuu alipigana sana kuhakikisha anawapa majibu wanafunzi wake indirect.

Mimi sijapendezwa na ule mchezo, hakika sikushiriki. Niliona ni dhambi, pili niliona najiweza.

Sekondari 2010 wakati namaliza O -level sijaona ushiriki wa walimu kwenye kugawa majibu ila wanafunzi usiku wa Jumapili kuamkia jumatatu ya mitihani walikesha na possible za NECTA ila nahisi waliangukia pua. Maana walitoka kwenye paper la Math wakiwa wamevurugwa. Binafsi sikushiriki kwasababu za kiimani.

Nimefika A level 2013 the same situation wanafunzi walikesha na possible ila huku itakuwa walizipata zenyewe, maana niliona wamejawa furaha kila walipotoka kwenye paper moja hadi jingine.

Shule mzima tulifaulu vizuri . Wanafunzi 140 wote tulipata sifa za kujiunga na university.

Sasa hivi niko chuo fulani hapa Dar. , Bado mambo ya kuchangishana pesa kumpooza teacher nayaona. Kwakweli Watanzania wana elimu fake.

Huko Law School ukifanyika utafiti yatajulikana mengi.

Watu wengi uwezo wao mdogo lakini wanafika mpaka elimu ya juu na wengine baadaye huwa ma lectures vyuoni.

Iwekwe sheria kali juu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani kuanzia primary mpaka chuo kikuu.

Kwakufanya hivi tutapata wataalamu wa kweli. Niliongea na baba mmoja daktari mstaafu anasema hata wao walichanga kumpooza professor.
Kuna jamaangu amefanyiwa PhD yake hii area
Kwakweli hali ni mbaya
 
Habari!

Mimi niliona hili tangu 2006 nilipohotimu darasa la saba, Mwalimu mkuu alipigana sana kuhakikisha anawapa majibu wanafunzi wake indirect.

Mimi sijapendezwa na ule mchezo, hakika sikushiriki. Niliona ni dhambi, pili niliona najiweza.

Sekondari 2010 wakati namaliza O -level sijaona ushiriki wa walimu kwenye kugawa majibu ila wanafunzi usiku wa Jumapili kuamkia jumatatu ya mitihani walikesha na possible za NECTA ila nahisi waliangukia pua. Maana walitoka kwenye paper la Math wakiwa wamevurugwa. Binafsi sikushiriki kwasababu za kiimani.

Nimefika A level 2013 the same situation wanafunzi walikesha na possible ila huku itakuwa walizipata zenyewe, maana niliona wamejawa furaha kila walipotoka kwenye paper moja hadi jingine.

Shule mzima tulifaulu vizuri . Wanafunzi 140 wote tulipata sifa za kujiunga na university.

Sasa hivi niko chuo fulani hapa Dar. , Bado mambo ya kuchangishana pesa kumpooza teacher nayaona. Kwakweli Watanzania wana elimu fake.

Huko Law School ukifanyika utafiti yatajulikana mengi.

Watu wengi uwezo wao mdogo lakini wanafika mpaka elimu ya juu na wengine baadaye huwa ma lectures vyuoni.

Iwekwe sheria kali juu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani kuanzia primary mpaka chuo kikuu.

Kwakufanya hivi tutapata wataalamu wa kweli. Niliongea na baba mmoja daktari mstaafu anasema hata wao walichanga kumpooza professor.
Kweli Mkuu katika hilo naunga hoj
 
Chuoni kuna watu wanakaa formation. Mtihani ukihamishwa venue dakika za mwisho kabla hujaanza utaona kuna kundi fulani watu kama watano hivi wanakimbia mbio kuwahi seat za karibu venue nyingine ili wasikae mbalimbali waibiane.

Ni upuuzi
 
Habari!

Mimi niliona hili tangu 2006 nilipohotimu darasa la saba, Mwalimu mkuu alipigana sana kuhakikisha anawapa majibu wanafunzi wake indirect.

Mimi sijapendezwa na ule mchezo, hakika sikushiriki. Niliona ni dhambi, pili niliona najiweza.

Sekondari 2010 wakati namaliza O -level sijaona ushiriki wa walimu kwenye kugawa majibu ila wanafunzi usiku wa Jumapili kuamkia jumatatu ya mitihani walikesha na possible za NECTA ila nahisi waliangukia pua. Maana walitoka kwenye paper la Math wakiwa wamevurugwa. Binafsi sikushiriki kwasababu za kiimani.

Nimefika A level 2013 the same situation wanafunzi walikesha na possible ila huku itakuwa walizipata zenyewe, maana niliona wamejawa furaha kila walipotoka kwenye paper moja hadi jingine.

Shule mzima tulifaulu vizuri . Wanafunzi 140 wote tulipata sifa za kujiunga na university.

Sasa hivi niko chuo fulani hapa Dar. , Bado mambo ya kuchangishana pesa kumpooza teacher nayaona. Kwakweli Watanzania wana elimu fake.

Huko Law School ukifanyika utafiti yatajulikana mengi.

Watu wengi uwezo wao mdogo lakini wanafika mpaka elimu ya juu na wengine baadaye huwa ma lectures vyuoni.

Iwekwe sheria kali juu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani kuanzia primary mpaka chuo kikuu.

Kwakufanya hivi tutapata wataalamu wa kweli. Niliongea na baba mmoja daktari mstaafu anasema hata wao walichanga kumpooza professor.
Mchezo wa kununua mitihani ulianza siku nyingi,1992 paper ya form 4 ilivuja,nakumbuka waziri wa elimu alikuwa Charles kabeho
 
Umenikumbusha kauli ya mzee mmoja anayetembea posta akipiga yowe huwa anasema bora akafie Uingereza kwakua hapa Tanzania kila kitu ni wizi tu.
 
Back
Top Bottom