Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Hii Thread imewaongelea Watu exactly kama wewe.
Alichokindika mtoa mada kwenye hii thread ni yeye na wenzie,hata maandishi yake tu yako dhahiri,dhihaka na chuki dhidi ya uislam,mwanzo alijifanya atheist baadae uzalendo ukamashinda,infact yeye ni christian version ya madai yake
 
Jambo la kawaida ambalo mmeshindwa kuleta mfano wake?
 
Wote Tu waislam na wakristo siku wakigundua dini sahihi ni ipi,dini za kiafrika zitapata wafuasi wengi sana na hii ni dhambi ya kumkataa MTU mweusi na kumpakazia kuwa ni mtoto wa laana!
 
Hii inadhihirisha ujinga wako juu ya QUR'AN, Allah sw kajisifu Sana kuumba dunia na universe kwenye QUR'AN,inaelekea hujawahi hata kuisoma,zamani tulikua tukigaiwa bible shuleni na ofisi za umma,ili tubatizwe,tukaisoma,tukaanza kukosoa,wakatupiga risasi kupitia jeshi la polisi na kutufunga hela,najua una chuki na uislam na hujawahi ishika QUR'AN,zipo soft copies siku hizi, download, soma ili uwe kwenye position nzuri zaidi ya kupinga
 

Waislamu wakijipiga na kumwaga Damu lakini wakati wanawasilimisha Wananchi hawawaambii kuwa mambo yatakuwa hivi.

Bora Urastafari Peace and Love.
 
Musa ilikuwa miaka 3000 iliyopita je kabla ya hapo Mungu alikuwa wapi au alikuwa hajali?!
Mungu alikuwa anatoa maagizo na Amri zake kutokana na kuongezeka kwa idadi ya Binadamu.
Adam alivyo kuwa peke yake hawezi kuambiwa
"USIZINI"
 
Kibiti mahandaki yalichimbwa hadi misikitini ikiwa ni pamoja na kukusanya vijana kutoka maeneo mbalimbali. Viongozi wabovu na waongo wapo dini zote hata ndani ya Uislam. Kwani akina shehe Sharif Majini, Dkt Manyaunyau si matepeli tu huku mjini??
 
Mungu alikuwa anatoa maagizo na Amri zake kutokana na kuongezeka kwa idadi ya Binadamu.
Adam alivyo kuwa peke yake hawezi kuambiwa
"USIZINI"
Kwahiyo pia unaaminini umri wa Dunia ni miaka 4000?!
 
Unaweza ukanieleza sababu ya hao watunzi kujaza mambo mengi kwenye hivyo vitabu hata ambayo hata waumini wa zama hizo hawakuweza kuyaelewa vizuri? Kulikuwa na ulazima gani kufanya hivyo?
Kwa hiyo karne 21 bado unaamini bible au Quran pamoja na uongo wa vitabu hivyo
 
Jiulize GDP ya Vatican/italy na Saudi Arabia ipi kubwa ukipata majibu uje kufuta uzi wako
 
Bila kiarabu huendi mbingunii according to shekhe sharifu majiniii 🏃🏃🏃
 
Ushahidi huu hapa
Ushahidi huu hapa!
👇👇
وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ ۖ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّنَ الْعِلْمِ إِلَّا قَلِيلًا

[ AN NAH'L - 85 ]
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
Ref!; Zoezi la kumpopoa mawe shetani maka🙄
Shetani ni spirit....
 
Acha fiksi Uislam umekuja miaka 600 baada ya Ukristo na mwanzilishi wa Uislam ni Mohammad Abdula bin Mutalib kabla ya hapo hakuna dini ikiitwa Islam so don't lie kwamba hao kina Selemani na David walikua muslims ni uongo!
Uisilamu ni Mila ya Ibrahim, mtume anakuja amewakuta watu wanaofuata dini ya Ibrahim hapo mecca. Mtume wote kina Musa, Yesu etc walikuwa wakifuata mfumo wa maisha ambao ndio huo waisilamu wanafuata leo.

Nimewapa Challenge huko juu, Soma Biblia usifuate wakristo Wanavyofanya, tafuta elimu wakristo wa zamani waliabudu vipi, waliishi vipi Automatic utajua hii sio Fiksi.

Mfano hii video ni priest anaonesha wakristo wa zamani walikua wakiswali vipi
Your browser is not able to display this video.


Niambie mkuu Yesu na wakristo wa Mwanzo walikua wakiabudu hivyo, je wakristo wa Sasa wanaabudu hivyo? Kama hawaabudu hivyo kwa nini? Ni dini gani leo inaabudu kama hivyo? Je Yesu sio Dini moja na wanaoswali hivyo?
 
Acha fiksi Uislam umekuja miaka 600 baada ya Ukristo na mwanzilishi wa Uislam ni Mohammad Abdula bin Mutalib kabla ya hapo hakuna dini ikiitwa Islam so don't lie kwamba hao kina Selemani na David walikua muslims ni uongo!
Uisilamu ni Mila ya Ibrahim, mtume anakuja amewakuta watu wanaofuata dini ya Ibrahim hapo mecca. Mtume wote kina Musa, Yesu etc walikuwa wakifuata mfumo wa maisha ambao ndio huo waisilamu wanafuata leo.

Nimewapa Challenge huko juu, Soma Biblia usifuate wakristo Wanavyofanya, tafuta elimu wakristo wa zamani waliabudu vipi, waliishi vipi Automatic utajua hii sio Fiksi.

Mfano hii video ni priest anaonesha wakristo wa zamani walikua wakiswali vipi
View attachment 3038834

Niambie mkuu Yesu na wakristo wa Mwanzo walikua wakiabudu hivyo, je wakristo wa Sasa wanaabudu hivyo? Kama hawaabudu hivyo kwa nini? Ni dini gani leo inaabudu kama hivyo? Je Yesu sio Dini moja na wanaoswali hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…