Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu: Zipo kura za WanaCCM wa JF kwa Lissu, hazipo kura za wanaCHADEMA wa JF kwa Rais Magufuli. Ushindi unaanzia hapa!

Kitakuwa ndiyo kipimo cha wanaosema tume ni huru
 
Gharama za uchaguzi, uendeshaji, ukuzaji wa Chama na vitendea kazi vyote vya shughuli hizo unajua zinatoka wapi?

Mishahara ya watumishi wa Chama inatoka wapi?

Ni busara sana kutafakari kabla ya kuandika.
Pesa za walipa kodi ambao wengi ni wapinzani na wananchi wengi ambao hawana vyama
 
Acha uongo wewe! Wakristo wa kweli tupo wengi tu na kura tutaupatia muujiza unaoishi. Huyo mkristo wa kumwona Lissu ni muovu na kumpa kura Magufuli atakuwa na cancer ya ubongo
 
Huwa najiuliza hivi Kinana,Makamba Sr,JK,MakambaJr,Nnape,MarkMwand nk nk nk kura zao zitaenda kwa JP!!!

Ni vile tu hakuna tume huru aiseh..
 
Jamani huyo Lissu anayeongelewa humu mitandaoni yupo kweli mitaani,yupo kweli vijijini?
Acha uongo wewe! Wakristo wa kweli tupo wengi tu na kura tutaupatia muujiza unaoishi. Huyo mkristo wa kumwona Lissu ni muovu na kumpa kura Magufuli atakuwa na cancer ya ubongo
Siwezi bishana na wewe,Wala si kazi yangu kubishana nawe,huo muda unaotumia kunijibu mie ninayejielewa utumie kumtangaza huyo Lissu vijijini na mitaani,ukitulia humu utajipa matumaini ambayo hajapo...
 
Hahahaaaa........ Lisu atatuuza kwa mabeberu.

Dr Magufuli ni Lulu na yule Lisu ni sawa na gololi za kuchezea watoto!
Hujawahi sikia kwenye historia jinsi babu zako walivyobadilishana lulu kwa kupewa golori na kushangilia!?
 
Magufuli ana miaka mingine mitano ya kutawala, anayeleta hoja kinzani aendelee tu. Kwa hotuba ile ya Mh. Lissu ataendelea kupata kura za huruma.
 
Mbona unatupigia makelele?
 
Mkuu mimi nadhani JF si chama cha siasa japo tunajadiri siasa.
Chadema na CCM siyo vyama pekee vya siasa,vipo ACT,NCCR,na vingine vingi.
Mpiga kura ndie mwenye maamuzi,block voting siyo demokrasia.
Angalia usije fungwa magoli kwenye mchezo wako mwenyewe.Waliojiadikisha kupiga kura ndio wanachagua mtu gani wa chama gani.
 
Acha kuhamisha magoli wewe, nimekueleza kuhusu point yako ya wakristo wote wa kweli kumpa kura Magu kwasababu Lissu ni muovu, habari za kujulikana zinatoka wapi?

Unajielewa halafu unaona uovu wa Lissu halafu uovu wa Magufuli huuoni? Ubongo wako utakuwa na makengeza.
 
Vipi mbona mapovu? Nimekupata nini?
 
Magufuli ana miaka mingine mitano ya kutawala, anayeleta hoja kinzani aendelee tu. Kwa hotuba ile ya Mh. Lissu ataendelea kupata kura za huruma.
Hizo kura za huruma ndizo zitampeleka ikulu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…