Ukweli mchungu

Mnyakyusa5000

Member
Joined
Sep 21, 2021
Posts
83
Reaction score
136
Kama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:

1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.

2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.

3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.

4. (1,2,3) yote kwa pamoja
 
Kwahyo unataka kusema kua ukiwa huna hela huna haki ya kupendwa na kupenda?




Katibu unazingua
Urimoraaa?
Kama huna hela basis ujue muda wako wa kuingia kwenye mahusiano bado..subiri kidogo ukue. Na kiukweli huwezi kusema unampenda mtu ambae humuudumii. PERIOD.
 
Aisee ni kwelia. Nilipingaga sana ila mahusiano bila hela hakuna kitu. Mtazunguka wee kwenye heshima, uvumilivu, sijui unyenyekevu ila bila pesa mnadanganyana.
 
Wanawake wanaweza kukuchukia kwa sababu uko busy sana na kazi na vilevile wakakuchukia sababu huna kazi

Unaweza ukawa na kibunda/kipato kingi cha kumuhudumia atakavyo lakini akaenda 'akaliwa' na shamba boy kwa sababu wewe ulikuwa busy kusaka hela muda huo ambao yeye anakuhitaji

Mapenzi hayana formula mkuu, wapo wakubwa wenye hela zao lakini wanachapiwa/wanagongewa vizuri tu na vijana wasio na hela
 
kuwa na hela ya kumuhudumia ndio kitu cha kwanza na muhimu..hayo mengine ni small adjustments.. but huduma ya kifedha ni main THING
 
Afu
izo ndo tunaita siasa za mapenzi..nimesema ni lazima umhudumie umpendaye kwa kutumia fedha yako..maandiko yanasema "hadhina yako ilipo ndio na moyo wako ulipo."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…