Mnyakyusa5000
Member
- Sep 21, 2021
- 83
- 136
Kama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.
4. (1,2,3) yote kwa pamoja
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.
4. (1,2,3) yote kwa pamoja