Hamia huku nkuhudumie achana na tall dark handsome zitakujeruhi😁😁Toa huduma wewe wacha janja janja
Ukweli unasema: "kama hauna kipato au fedha za kumuhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano" hausemi huduma nyingine zisizohusu kipato au fedha ambazo hata ng'ombe anauwezo wa kuzitoa.Kumhudumia mwanamke ni vitu gani tuanzie Hapo kwanza..?
🤣 Wewe ni kashotii?Hamia huku nkuhudumie achana na tall dark handsome zitakujeruhi😁😁
Super tolu mnyama🤣 Wewe ni kashotii?
Aah! nyie siwatak mmenisumbua sanaSuper tolu mnyama
Unakimbia fursaAah! nyie siwatak mmenisumbua sana
Watapinga japo wanasemaKama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.
4. (1,2,3) yote kwa pamoja
Em niambie vizuri basi naweza badili maamuzi 😉Unakimbia fursa
Unakimbia fursaaa😎
Ni kuambie nn Sasa na ulisha reject.Em niambie vizuri basi naweza badili maamuzi 😉
Hujielewi weweKama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.
4. (1,2,3) yote kwa pamoja
UKWELI MCHUNGUHujielewi wewe
Ili kuupata ukweli,tumuulize Emmanuel Mgaya/Masanja.Kama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa na hisia zako za kimwili na siyo upendo.
4. (1,2,3) yote kwa pamoja
Nikuhudumie halafu uende kwa katibu?Poa tu.Toa huduma wewe wacha janja janja
🤣 Mimi sio Monica, toa huduma bwana.Nikuhudumie halafu uende kwa katibu?Poa tu.
Mateso haya!🤣 Mimi sio Monica, toa huduma bwana.
hapo kwenye small adjustment wahuni ndio wanapita nae wakati wewe ukiwa busy kuitafuta hiyo hela na muda wa kuwa nae karibu hunakuwa na hela ya kumuhudumia ndio kitu cha kwanza na muhimu..hayo mengine ni small adjustments.. but huduma ya kifedha ni main THING
Sawa, ila sio kila hela yako inamuhudumia yeye, kuna wengine wanahudumia kisiri siri wewe hujui bro.. shtukaAfu
izo ndo tunaita siasa za mapenzi..nimesema ni lazima umhudumie umpendaye kwa kutumia fedha yako..maandiko yanasema "hadhina yako ilipo ndio na moyo wako ulipo."
Hata kama ni hivyo, bado ukweli unabaki palepaleSawa, ila sio kila hela yako inamuhudumia yeye, kuna wengine wanahudumia kisiri siri wewe hujui bro.. shtuka