LIGI YETU HAIKO FAIR.
Simba & Yanga ni team ambazo kuchukua ubingwa wa VPL zinabadilishana tu ukiwa na upenzi bila jicho la tatu utasema wana deserve na wanavikosi bora . Lakini kwa jicho la kiutaalam na la tatu ni team zenye ubingwa fake na waupendeleo mkubwa ndio maana kombe kama la azam confederation na Mapinduzi makombe yenye fair competition huwa wana struggle sana.
Turudi VPL Yanga na Simba huwa wanapata point 3 free kabla ya ligi kuanza, kwann na sema hvyo RUVU SHOOTING NA JKT RUVU ni team ambazo kwa miaka ya nyuma zilikuwa zinaandaliwa kuwapa point 6, Mechi za hao wanajeshi kwa team mbili tu yaani simba na Yanga wanatumia uwanja wa Taifa huku team nyingine zote zinazobakia zikifuata utaratbu wa nyumbani na Ugenini THIS IS NOT FAIR.
Team Zooote kwenye ligi zinacheza Mwadui complex,Manungu na Mabatini Simba na yanga hawagusi hvyo viwanja vibovu huku kichekesho wakiifuata Njombe mji (SABASABA NJOMBE) ukiuangalia uwanja wa sabasaba hauna tofauti kabsa na manungu, mabatini & Mwadui complex .
Kwa mambo yote hayo team gan yenye uwezo sawa na hzo team ikachukua ubingwa ikiwa wapinzani wenu wanapewa point 6 kabla ya kucheza (nasema point 6 nikimaanisha ukicheza na ruvu Taifa ni tofauti na ukikutana nao mabatini ndio maana simba&yanga wanashinda goli 7 na wanashinda tenA sababu wanacheza mechi za ugenini nyumban kirahsi huku AZAM FC NA SINGIDA WAKIENDA MABATINI,MWADUI & MANUNGU.
Kwa hzo fever leo simba na yanga wanaongoza point 6 wanapata wap kwa wapinzani wao kama sio zile fever nilizo zungumza ? Wawekezaji wanashindwa kuwekeza kwa raha sababu ubingwa ni ngumu sana kuchukua mbele ya hawa Ndugu na Shirikisho lililo unfair.
HII INAUDHI NADHANI NADHANI NDIO SABABU UONGOZI WA AZAM ULIAMUA KUBANA MATUMIZI BAADA YA KUONA UBINGWA ULIVYO NA MILOLONGO MINGI PAMOJA NA KUGHARIMIA SANA. Narudi kwako hili walionaje???
cc@mdau kutoka fb
Simba & Yanga ni team ambazo kuchukua ubingwa wa VPL zinabadilishana tu ukiwa na upenzi bila jicho la tatu utasema wana deserve na wanavikosi bora . Lakini kwa jicho la kiutaalam na la tatu ni team zenye ubingwa fake na waupendeleo mkubwa ndio maana kombe kama la azam confederation na Mapinduzi makombe yenye fair competition huwa wana struggle sana.
Turudi VPL Yanga na Simba huwa wanapata point 3 free kabla ya ligi kuanza, kwann na sema hvyo RUVU SHOOTING NA JKT RUVU ni team ambazo kwa miaka ya nyuma zilikuwa zinaandaliwa kuwapa point 6, Mechi za hao wanajeshi kwa team mbili tu yaani simba na Yanga wanatumia uwanja wa Taifa huku team nyingine zote zinazobakia zikifuata utaratbu wa nyumbani na Ugenini THIS IS NOT FAIR.
Team Zooote kwenye ligi zinacheza Mwadui complex,Manungu na Mabatini Simba na yanga hawagusi hvyo viwanja vibovu huku kichekesho wakiifuata Njombe mji (SABASABA NJOMBE) ukiuangalia uwanja wa sabasaba hauna tofauti kabsa na manungu, mabatini & Mwadui complex .
Kwa mambo yote hayo team gan yenye uwezo sawa na hzo team ikachukua ubingwa ikiwa wapinzani wenu wanapewa point 6 kabla ya kucheza (nasema point 6 nikimaanisha ukicheza na ruvu Taifa ni tofauti na ukikutana nao mabatini ndio maana simba&yanga wanashinda goli 7 na wanashinda tenA sababu wanacheza mechi za ugenini nyumban kirahsi huku AZAM FC NA SINGIDA WAKIENDA MABATINI,MWADUI & MANUNGU.
Kwa hzo fever leo simba na yanga wanaongoza point 6 wanapata wap kwa wapinzani wao kama sio zile fever nilizo zungumza ? Wawekezaji wanashindwa kuwekeza kwa raha sababu ubingwa ni ngumu sana kuchukua mbele ya hawa Ndugu na Shirikisho lililo unfair.
HII INAUDHI NADHANI NADHANI NDIO SABABU UONGOZI WA AZAM ULIAMUA KUBANA MATUMIZI BAADA YA KUONA UBINGWA ULIVYO NA MILOLONGO MINGI PAMOJA NA KUGHARIMIA SANA. Narudi kwako hili walionaje???
cc@mdau kutoka fb