Ukweli mzito kuhusu maisha – waliotoka ukingoni mwa kifo wafunua siri!

Ukweli mzito kuhusu maisha – waliotoka ukingoni mwa kifo wafunua siri!

😂😂Unaogopa au
Sio kitu cha kusimulia kabisa ishawahi nipata ila sijawahi simulia mtu, gateway niliyopewa kubaki ni mtu mmoja ambae baadae tulikwazana sana huwezi kufa km hujatimiza kilichokuleta duniani mpaka kitimie ndio unakufa
 
Sio kitu cha kusimulia kabisa ishawahi nipata ila sijawahi simulia mtu, gateway niliyopewa kubaki ni mtu mmoja ambae baadae tulikwazana sana huwezi kufa km hujatimiza kilichokuleta duniani mpaka kitimie ndio unakufa
Similar to me aise this thing also happened to me.
 
Ndugu zangu tukishashiba na kumiliki iPhone ndipo tunaanza kukejeli kuhusu Muumba....na ili uonekane msomi humu jamii forum ni lazima umkandie Mungu na hili linafanyika sana na vijana wa kikristo hii yote inatokana na dini ya kikristo kufanyiwa remix sana
 
Ndugu zangu tukishashiba na kumiliki iPhone ndipo tunaanza kukejeli kuhusu Muumba....na ili uonekane msomi humu jamii forum ni lazima umkandie Mungu na hili linafanyika sana na vijana wa kikristo hii yote inatokana na dini ya kikristo kufanyiwa remix sana
Kwanini mkuu?
 
Wanakuwa na hofu kuu na kuonekana kukata tamaa kabsia
 
Back
Top Bottom