jannelle
JF-Expert Member
- Feb 8, 2020
- 824
- 1,581
Sasa mwishoni ndio watuambia kama ni waoga tusisome wakati tumesoma😂 khaaNjoo tujuzane, lakini kama wewe ni mwoga… tafakari 🤔 mara mbili kabla ya kusoma zaidi. Hili ni jambo zito!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwishoni ndio watuambia kama ni waoga tusisome wakati tumesoma😂 khaaNjoo tujuzane, lakini kama wewe ni mwoga… tafakari 🤔 mara mbili kabla ya kusoma zaidi. Hili ni jambo zito!
Sio kitu cha kusimulia kabisa ishawahi nipata ila sijawahi simulia mtu, gateway niliyopewa kubaki ni mtu mmoja ambae baadae tulikwazana sana huwezi kufa km hujatimiza kilichokuleta duniani mpaka kitimie ndio unakufa😂😂Unaogopa au
Similar to me aise this thing also happened to me.Sio kitu cha kusimulia kabisa ishawahi nipata ila sijawahi simulia mtu, gateway niliyopewa kubaki ni mtu mmoja ambae baadae tulikwazana sana huwezi kufa km hujatimiza kilichokuleta duniani mpaka kitimie ndio unakufa
No I believe in somethingYou don't believe in anything
Kwanini mkuu?Ndugu zangu tukishashiba na kumiliki iPhone ndipo tunaanza kukejeli kuhusu Muumba....na ili uonekane msomi humu jamii forum ni lazima umkandie Mungu na hili linafanyika sana na vijana wa kikristo hii yote inatokana na dini ya kikristo kufanyiwa remix sana
Lakini Mungu hadhihakiwiNo I believe in something
For sureLakini Mungu hadhihakiwi