Ukweli na haki (truth and justice)

Ukweli na haki (truth and justice)

DERICK MWESIGA

New Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Hivi ukweli na haki (truth and justice) vinaeliwekaje katika fani ya sheria? Hivi katika mahakama hasa mahakama za tanzania kuna haki kweli au basi ndo mkubwa mpishe apite?
Naomba maelezo na hoja za kitaalam tafadhali.
 
Back
Top Bottom