Sugar dady
Senior Member
- Dec 6, 2018
- 131
- 194
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watu tusiokuwa biased,hii album ya Kondeboy ni ya moto
Naistream hapa kupitia Deezer,aisee ya moto sana
Malaika ft Morgan Heritage[emoji91][emoji91][emoji91]
Hafu ndio mchangiaji wa kwanzaHaha watu mna maneno balaa😁😁😁
Mimi namchangia pato kijana..
wengi naona mnamshambulia mtoa mada pasi kujibu hoja yake,yaweza kua hamjamuelewa au hamjui mziki,ngoja mimi nimchallange kasema hadi sasa hajaona mtu wa kubreak down chemistry ya Chibu na Harmonize je anasemaje kuhusu wimbo wa show me harmo x mavoko?Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.
Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !
= = =
Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.
Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )
No wonder !
Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.
Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.
( Fukueni Threads za huyu mtu )
Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.
Hoja zako zina logic,ngoja niseme kwa nini ngoma wakiwa domo na konde zinakua moto ni kwamba 1.Wote wanafanana kwenye utunzi 2.Mond ni role model wa Harmo 3.Mond kamfundisha na kumkuza kimuziki Harmo 4.Harmo ni Diamond kwa kila kitu so kwa mantiki hiyo hao watu wakikaa pamoja wanajuliana kwa kila.idara so ni simple kufanya kitu kitam....natamani mavoko na harmo wafanye kitu ili tupate ile "show me" nyingine.Nimeiskiliza album yote ya Harmonize kusema ukweli kwangu mimi binafsi nyimbo nilizozielewa ni Bedroom (licha ya vionjo vya beat kufanana na Teamo wa Ray), Good, na Mpaka Kesho ila nilichogundua nyimbo zote alizoshirikisha wasanii wengine ni za kawaida sana na haziwezi kuwa hit ukitofautisha na zile ambazo amewahi kumshirikisha Diamond - Bado, Kainama na Kwangaru.
hapa ndipo nashawishika kusema bado hajatokea msanii wa kubeat down chemistry ya Diamond na Harmonize.
wajinga alafu mashabiki wengi wa Diamond hawana shule kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] timu domo mna tabu sana
Nashukuru sana kwa kukengeuka.Nilimdaharau sana Harmo..Lakini kwa hii Album nimemuappreciate
pamoja sana,je unajua wimbo wa show me ulikoanzia? ukinijibu hili nami nakupa fact ya huo wimboHoja zako zina logic,ngoja niseme kwa nini ngoma wakiwa domo na konde zinakua moto ni kwamba 1.Wote wanafanana kwenye utunzi 2.Mond ni role model wa Harmo 3.Mond kamfundisha na kumkuza kimuziki Harmo 4.Harmo ni Diamond kwa kila kitu so kwa mantiki hiyo hao watu wakikaa pamoja wanajuliana kwa kila.idara so ni simple kufanya kitu kitam....natamani mavoko na harmo wafanye kitu ili tupate ile "show me" nyingine.
Usichukulie watu poa hii ni jf tu you know no body out of these fake IDs
Kuna "Shabiki na Mpuuzi" Hbaba alisemaga
shobo,huwajui wasukuma mkuu?Speaking of H baba naona Jana alikuwa front kama muhusika mkuu wa ile event....wadau wanaojua ili vp H baba yupo kondegang au ni fuata nyuki ule asali
sielewi unazungumza niniSpeaking of H baba naona Jana alikuwa front kama muhusika mkuu wa ile event....wadau wanaojua ili vp H baba yupo kondegang au ni fuata nyuki ule asali
Sasa Diamond mwenyewe kapost Album ya Harmonize hawa bendera fata upepo waliokuwa wanamshambulia konde boy sijui wataficha wapi sura zao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] timu domo mna tabu sana
Always nawaambiaga watu wa humu Diamond is another Ruge anacheza na akili za matahira.Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.
Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !
= = =
Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.
Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )
No wonder !
Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.
Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.
( Fukueni Threads za huyu mtu )
Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.
Sasa Diamond mwenyewe kapost Album ya Harmonize hawa bendera fata upepo waliokuwa wanamshambulia konde boy sijui wataficha wapi sura zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo albam iliyotoka Jana ni hits ,Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.
Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !
= = =
Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.
Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )
No wonder !
Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.
Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.
( Fukueni Threads za huyu mtu )
Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.