Ukweli na usemwe: Chemistry ya Diamond na Harmonize haijapata mpinzani

Ukweli na usemwe: Chemistry ya Diamond na Harmonize haijapata mpinzani

Umeshamaliza kuandika kitanda cha mama dangote apo madale
 
Binafsi kama mpenzi wa muziki najiskia vibaya saana kuona kijana ameachana na WCB....

Combination yao ilikuwa nzuri saana.
 
Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.

Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !

= = =

Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.

Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )

No wonder !

Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.

Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.

( Fukueni Threads za huyu mtu )

Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.
wengi naona mnamshambulia mtoa mada pasi kujibu hoja yake,yaweza kua hamjamuelewa au hamjui mziki,ngoja mimi nimchallange kasema hadi sasa hajaona mtu wa kubreak down chemistry ya Chibu na Harmonize je anasemaje kuhusu wimbo wa show me harmo x mavoko?
 
Nimeiskiliza album yote ya Harmonize kusema ukweli kwangu mimi binafsi nyimbo nilizozielewa ni Bedroom (licha ya vionjo vya beat kufanana na Teamo wa Ray), Good, na Mpaka Kesho ila nilichogundua nyimbo zote alizoshirikisha wasanii wengine ni za kawaida sana na haziwezi kuwa hit ukitofautisha na zile ambazo amewahi kumshirikisha Diamond - Bado, Kainama na Kwangaru.

hapa ndipo nashawishika kusema bado hajatokea msanii wa kubeat down chemistry ya Diamond na Harmonize.

Hoja zako zina logic,ngoja niseme kwa nini ngoma wakiwa domo na konde zinakua moto ni kwamba 1.Wote wanafanana kwenye utunzi 2.Mond ni role model wa Harmo 3.Mond kamfundisha na kumkuza kimuziki Harmo 4.Harmo ni Diamond kwa kila kitu so kwa mantiki hiyo hao watu wakikaa pamoja wanajuliana kwa kila.idara so ni simple kufanya kitu kitam....natamani mavoko na harmo wafanye kitu ili tupate ile "show me" nyingine.
 
Hoja zako zina logic,ngoja niseme kwa nini ngoma wakiwa domo na konde zinakua moto ni kwamba 1.Wote wanafanana kwenye utunzi 2.Mond ni role model wa Harmo 3.Mond kamfundisha na kumkuza kimuziki Harmo 4.Harmo ni Diamond kwa kila kitu so kwa mantiki hiyo hao watu wakikaa pamoja wanajuliana kwa kila.idara so ni simple kufanya kitu kitam....natamani mavoko na harmo wafanye kitu ili tupate ile "show me" nyingine.
pamoja sana,je unajua wimbo wa show me ulikoanzia? ukinijibu hili nami nakupa fact ya huo wimbo
 
Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.

Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !

= = =

Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.

Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )

No wonder !

Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.

Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.

( Fukueni Threads za huyu mtu )

Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.
Always nawaambiaga watu wa humu Diamond is another Ruge anacheza na akili za matahira.

Mtaji wa Simba ni ujinga wa watanzania wengi they make a damn profit yani picha linachezwa ni kubwa kuliko
 
Tangu lini msukule wa Diamond ukawa mtu huru.

Hiyo Album zaidi ya 92% ni HITS !

= = =

Ukishakuwa mfuasi kindakindani unakuwa kama taahira. Ni Sawa na shabiki lialia wa simba aisifie Yanga.

Wewe Juzi hapa ulikuwa unaponda SHOW ya BURNABOY aliyofanya Dar ( Ukiangalia sababu kubwa, eti ana ukaribu na Harmonize )

No wonder !

Kila msanii anaeonesha juhudi ukiona anamtishia Diamond unaanzisha THREADS za kumponda humu.

Ukianza na Aslay, Darassa, Mavocco na sasa Unapambana na Harmonize.

( Fukueni Threads za huyu mtu )

Kuweni Huru, Mnaabudu Watu Mpaka Mnakera.
Kwa hyo albam iliyotoka Jana ni hits ,
😵😛😵😀 uzuri mda huwa haudanganyi , Ila Kwa uzinduz huo kijana amepumua kidog
 
Back
Top Bottom