Msemakweli ni mpenzi wa mungu. Mie na kusifu kwa ukweli wako.
Kudanganya: Fikiria kama ungedanganya alafu unapata ajari, unakutwa wewe na mwanamke na watoto ndani ya gari mumeumia, je unafkiri mkeo angekufikiriaje? Angekuona muongo na sio muaminifu. Bora ulivo muambia ukweli maana baadae atagundua kama angekuwa mpenzi wako husinge muambia, ungeficha. Ni wivu tu unamuangaisha sio lengine.
Jiulize hata ingekuwa wewe mwenyewe kama mkeo angetoa msaada kama uwo kwa mwanaume na kuchelewa kurudi home ungejiskiaje? Sababu msaada hata wanaume wanaitaji pia. Nazani hata wewe ungekasilika pia, ungeona wivu na ungefikiria vingine.
Mwanaume wengine akili zenu fupi bana, munafanya vitu bila kuzingatia. Mtu alie kuwa ktk ndoa hatakiwi kufanya vitu kama hivyo bila kumshirikisha mwenzawake. Kama ungelikuwa na akili nzuri ungempa nauli huyo dada ukawai home kwa mkeo mda unao takiwa.
Au ungempigia sim mkeo na kumuliza je umpe nauli au umuendeshe huyo dada. Munayataka wenyewe sababu hamtumii akili.