Ukweli ni kitu gani?

Kwa hiyo una maanisha hakika inazaliwa baada ya Ukweli?!..
Kwa maana hakika inatokana na instict ya mtu mwenyewe?!
Let me break it Down..
Well umesema ukweli una Asili,nambie ni nini kisicho na Asili lakini bado ni kweli??
Chochote kilicho na asili ndiyo ukweli kwasababu ndivyo kilivyo kwa jinsi yake. Hakuna kisicho na asili halafu kiwe ukweli!
 
katika swala zima la ukweli ni umbo lenye pande Sita three dimension sasa hatuwezi kuwe sawa ingawa wote tutakua wakweli Aliyeona juu hatajua chini Kuna nn na aliuona chini hatajua mbele na vitu mfano Wa hivyo usishangae leo hii watu wanne walioshuhudia tukio moja kila mtu akija na stori yake na inawezekana wanabishana na ngumi zikapigwa
 
Ukweli ni Kujua na kutambua hali halisi na kutoa utata wa sintofahamu. Knowing, casying the shadow of doubt, replacing belief with knowledge.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu chochote ambacho kina chanzo chake kinaitwa ukweli lkn kama jambo au taarofa ambyo haina chanzo chke hyo ni maoni au utashi ama mtazamo bnfsi wa mtu
Ukweli una mambo mawili chanzo pamoja na jinsi utakamvyomuathili mpokeaji wa taarifa hyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kile kilichoko ndani ya moyo ndiyo kinaitwa ukweli
Yani unaweza kuwaambia watu jambo ambalo ni lakweli lakini wengine wasikuamini na wengine wakaamini
Pia unaweza kudanganya watu wakaamini na wengine wasiamini
Ila ukweli unakuwa nao wewe moyoni mwako
Mfano kuna watu wana share stories zao hapa na bado watu wanaziita chai ila ukweli anakuwa nao mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kile unachoamini wewe kama wewe bila kumlazimisha mtu mwingine kuamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni tamko au kitendo chenye kuafikiana na hali halisi.

Nipo ....
 
Ukweli ni very complex concept, na ni moja kati ya mada pana sana hususan kwenye mambo ya falsafa (phylosophy) na theolojia(theology), ila in simple words it means 'being in accord with fact or reality, or fidelity to an original or standard.'

the Legend☆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…