Ukweli ni kuwa Horoya ni Timu mbovu sana. Simba ilipiga Bomu mochwari

Ukweli ni kuwa Horoya ni Timu mbovu sana. Simba ilipiga Bomu mochwari

Id mpya hiyo.Hakuna kitu kikamilifu hata mashabiki wa Simba mwanzoni walioona Simba mbovu.NB:Mantinki hiyo hata wewe mbovu hii thread inaonyesha una hitilafu kwenye brain Yako.
 
Ila jf raha sana. Ila ww si ndio ulisema mtaenda kufanya km makirikiri??
Ila kweli nyinyi ni wabovu sana
 
SIMBA imekuwa timu ya kwanza kuipa kipigo kikubwa kuliko vyote timu ya Horoya tangu ianzishwe mwaka 1975. Rekodi ya kuruhusu mabao mengi ilikuwa ni kipigo walichopewa na Raja mwaka 2019 walipofungwa 5-0

1679308614426.png
 
Mimi nikiwa shabiki wa damu wa Horoya Football Club nakiri hadharani kuwa hapa hakuna timu. Japo tupo klabu bingwa lakini klabu yetu imejichokea sana, hatuna wachezaji wowote wa maana wanaojua hata kupiga pasi mbili tatu, tumejaza wachezaji warefu wasiojua kucheza mpira.

Niwaambie tu Simba kuwa kutufunga sisi goli 7 kusiwafanye wakajiona Bora, kwani timu zote zilizoingia robo fainali zipo level moja na Raja kwaio wajiandae nao kupokea mvua ya magoli.
Hivi wewe mpenzi wa soka hujui kuwa Horoya FC ni washiriki wa Africa Super League na Simba ndio washiriki pekee katika Afrika Mashariki? Any way najua umefikisha ujumbe ulioutaka kwa jirani zako wa Kariakoo.

Vv
 
Hivi wewe mpenzi wa soka hujui kuwa Horoya FC ni washiriki wa Africa Super League na Simba ndio washiriki pekee katika Afrika Mashariki? Any way najua umefikisha ujumbe ulioutaka kwa jirani zako wa Kariakoo.

Vv
Huyo ni shabiki wa Horoya hata avatar yake inaonesha, kashasema wao wanatimu mbovu, kwann umpinge?
 
Back
Top Bottom