Ukweli ni kuwa Masanja ana uzoefu na mkali kuliko Maulid na Hando

Ukweli ni kuwa Masanja ana uzoefu na mkali kuliko Maulid na Hando

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndo alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko Maulid ama Hando ambavyo wamewahi kufanya Kwa wakati wote.

Masanja kwenye magazeti akichanganya na utaalamu wake wa kuigiza anavutia sana kuliko hao wazee waliooenda wasafi.

Kwanza hao wazee ukiacha Maulid, Wana uraibu wa pombe na sigara tofauti na Masanja ambaye hatumii hayo mavitu.

Kiuhalisia Masanja anaenda kuwapoteza kabisa wazee wale wawili
 
Kama kweli hivi. Tulitegemea pengo liwe kubwa baada ya kitenge kuondoka, lakini kama Masanja kaliziba haraka tafauti na kipindi kile alipoziba steve nyerere pengo hilo hilo.
 
Kuna shoga mmoja ana hamu aliwe, Moderator fanyeni hawa mbwa tukiwablock wasiweze tufatilia.
Huyu shoga mgawa myundu nimemblock ila anaona ninachoandika na kuniquote
 
Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndos alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko maulid ama hando ambavyo wamewahi kufanya Kwa wakati wote.

Masanja kwenye magazeti akichanganya na utaalamu wake wa kuigiza anavutia sana kuliko hao wazee waliooenda wasafi.

Kwanza hao wazee ukiacha maulid , Wana uraibu wa pombe na sigara tofauti na Masanja ambaye hatumii hayo mavitu.

Kiuhalisia Masanja anaenda kuwapoteza kabisa wazee wale wawili
Mbona nchi hii ina watu wa hovyo sana?
1. Wanavutaga sigara studio?
2. Wanakunywa pombe studio?

Fambaf sako
 
Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndos alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko maulid ama hando ambavyo wamewahi kufanya Kwa wakati wote.

Masanja kwenye magazeti akichanganya na utaalamu wake wa kuigiza anavutia sana kuliko hao wazee waliooenda wasafi.

Kwanza hao wazee ukiacha maulid , Wana uraibu wa pombe na sigara tofauti na Masanja ambaye hatumii hayo mavitu.

Kiuhalisia Masanja anaenda kuwapoteza kabisa wazee wale wawili
Huku sasa ndio kuchanganyikiwa
 
Kuna kipindi kama sijakosea Original Comedy ilipigwa ban sijui shida ilikuwa ni nini? Acha kutukanisha tasnia ya habari
 
Back
Top Bottom