Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

Wote walalahoi tu yaani ukiangalia nchi hii watu ambao wanapata kipato sustainable na cha kumuwezesha maisha bora haizidi asilimia 15% ,trust me .Kuna watu wana ajira ila hawana tofauti na vibarua tu
Khabisa
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Mambo siyo marahisi hivyo
 
Bodaboda wanapata pesa sana ila tatizo ni nidhamu ya matumizi ya hiyo pesa.

Kwa kijana mwenye pikipiki yake binafsi, kwa mwezi anaingiza pesa nyingi sana, naona umewatolea mfano walimu lakini ukweli ni kwamba anaweza kumzidi mtu yoyote ambaye kwa mwezi mshahara wake ni chini ya laki saba.

Tatizo linarudi pale pale, nidhamu ya matumizi.
[/CENTER]
Katika bodaboda elfu Moja ni bodaboda wasiozidi kumi ndo unaweza Sema wanamzidi kipato mwalimu.
Tena hao bodaboda kumi,watakuwa wanafanya kazi ya ubodaboda kama extra baada ya kutoka kwenye kazi zao za kudumu
 
Bodaboda anayekunja 50K hadi 60K kwa siku anapakia mawaziri au akina nani?

Tuache kuleta uongo wa kingese kiasi hiki hapa JF. Kila sehemu kuna rundo la bodaboda inakuwaje hadi bodaboda mmoja apate average ya 60K kwa siku? Au anabeba wahamiaji haramu au mirungi au bangi?

Mleta mada umeamua kuja kujipa mashavu hapa JF!!?
Tatizo watu wanaongea tu kama wale motivational speaker wa kulima kwenye makaratasi
 
IMG_0424.jpg

hizi story ndio zinafanua ccm wajipige kifua kwamba kupitia bodaboda wamewawezesha vijana kujikwamua kimaisha.

50k per day[emoji1787][emoji1787]manyokwoo.
 
Kuna bodaboda wana vichwa vyao vya asubuhi na jioni yani go and return. Unakuta anapoamka tu saa kumi na moja ana vichwa vyake kumi vya kila siku kuwapeleka na kuwarudisha kutoka kazini.

Tufanye kila kichwa ni buku nne yani kwenda buku mbili kurudi buku mbili hapo sijapiga hesabu wa buku tano nawale wakudaka njiani na kijiweni
Hesabu za kwenye madaftari ni tofauti sana na uhalisia kwenye field.Mkipanda pikipiki au boda muwe mnajenga urafiki na kuwadodosa kuhusu kipato chao
 
Kuna mjadala unawaka Moto kwenye jukwaa la MMU kuwa Kati ya mwalimu na bodaboda yupi yupo kwenye sehemu nzuri ya kipato na kuendesha maisha yake ya kila siku.

Iko hivi :bodaboda akitulia vizuri na akajenga uamini Kwa wateja Kwa siku hakosa elfu hamsini mpaka sitini ukipiga Kwa mwezi ni mara tano ya mshahara WA mwalimu anaelipwa laki nne au 5 Kwa mwezi. Hata hivyo bodaboda pesa Yao Ina-vary ila Hawa maticha ipo fixed mpaka miaka mitano au sita atakapopanda daraja [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nafunga mjadara sasa. Mwalimu ni kada ya mwisho kwenye kipato hata muuza magazeti anampita
Kwa hiyo?! Unamtunzia familia wewe? Unamsomeshea watoto? Unamvisha?? Hiyo laki nne ni yake, kama ni mateso ni yake.... Yanakukera vipi hayo?? Endelea na huyo boda boda kwa vile anakutunzia mke na bintiyo!!
 
Kwa hiyo?! Unamtunzia familia wewe? Unamsomeshea watoto? Unamvisha?? Hiyo laki nne ni yake, kama ni mateso ni yake.... Yanakukera vipi hayo?? Endelea na huyo boda boda kwa vile anakutunzia mke na bintiyo!!
Kwenda zako [emoji35]
 
Back
Top Bottom