Ukweli ni kwamba Gerson Msigwa ameshushwa Cheo

Ukweli ni kwamba Gerson Msigwa ameshushwa Cheo

Kwa hiyo unaona kabisa 2025 ukichukua fomu ya Urais na hata kura zikihesabiwa uwanja wa Taifa unaweza kushindana na Rais Samia na ukashinda? Ikumbukwe Anayewaza hivi hajawahi hata kugombe uenyekiti wa mtaa na hata akigombea anaweza asishinde
Si samia tu , hakuna mwanaccm wa kutushinda kwenye uchaguzi huru
 
Kuna Wakati mambo ya Nchi hii yanashangaza sana !

Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .

Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .

Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .
Katibu mkuu wa wizara ni cheo kikubwa sana kwenye utumishi wa serikali. Huwezi ukaulinganisha na ukurugenzi wa tasisi au kitengo kama alichokuwa nacho awali.

Katibu Mkuu wa wizara ndiye Accounting Officer (Afisa Masululi) wa wizara, ndiye mwenye vote ya wizara. Ndiye mkuu wa watumishi wote nchini walio chini ya wizara husika, ana mamlaka yakuwa hire and fire. Ndiye mtendaji mkuu wa wizara, cheo chake na kazi yake siyo ya kisiasa kama kile cha Waziri. Kiitifaki yeye ndiye anamfuata waziri na naibu waziri.
 
Kuna Wakati mambo ya Nchi hii yanashangaza sana !

Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .

Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .

Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .
Una uhakika na ulichoandika?
 
Mkurugenzi wa Idara yuko chini ya Katibu Mkuu wa wizara. Usemaji wa serikali ni majukumu ya Mkurugenzi huyo wa idara.
 
Back
Top Bottom