Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Si samia tu , hakuna mwanaccm wa kutushinda kwenye uchaguzi huruKwa hiyo unaona kabisa 2025 ukichukua fomu ya Urais na hata kura zikihesabiwa uwanja wa Taifa unaweza kushindana na Rais Samia na ukashinda? Ikumbukwe Anayewaza hivi hajawahi hata kugombe uenyekiti wa mtaa na hata akigombea anaweza asishinde
Katibu mkuu wa wizara ni cheo kikubwa sana kwenye utumishi wa serikali. Huwezi ukaulinganisha na ukurugenzi wa tasisi au kitengo kama alichokuwa nacho awali.Kuna Wakati mambo ya Nchi hii yanashangaza sana !
Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .
Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .
Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .
Hatuangalii anachopata ila cheo kashushwa
Sijawahi kukitilia shaka ninachoaminiIf it makes you sleep well at night endelea kuamini unachoamini.
Unaweza kudhani mtashindana na Rais Samia pekee kumbe mtatakiwa kushinda na CCM na kivuli chake.Si samia tu , hakuna mwanaccm wa kutushinda kwenye uchaguzi huru
Yule aliekuwepo mbona alikuwa vizuri?Ukiwa Mtumishi wa serikali kuhamishwa ni Jambo la kawaida.Uteuzi huu nimeupongeza,wizara hiyo imepata mtu sahihi...Kongole Comrade GMsigwa
Una uhakika na ulichoandika?Kuna Wakati mambo ya Nchi hii yanashangaza sana !
Pamoja na kwamba sifahamu vigezo vya Mtu kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali , Lakini natambua kwamba kuwa Msemaji wa serikali ni dhamana kubwa mno , na kwa kadiri ninavyomfahamu Msigwa hakustahili kuwa Msemaji wa Serikali yetu ya Tanzania , Msemaji wa Serikali hawezi kuwa kama Msemaji wa Yanga , Haji Manara , au yule wa Clouds Mbwiga Mbwiguke , haikubaliki kuropoka ropoka tu , ni lazima Msemaji wa serikali ayajue mambo ya nchi yake na awajue viongozi wake , hata kama anatumwa , he/she must understand the mood of the people , body language yake ni lazima ifuate mawimbi ya anaowaeleza jambo .
Kwa kadri ya Kumbukumbu zangu , Msigwa ndiye Msemaji wa serikali Duni kabisa kuwahi kuwepo tangu Tanzania ianzishwe . Alishindwa kabisa kuitetea serikali yake hata kwenye mambo mepesi , hajui kabisa kipengere muhimu cha Propaganda , Msemaji wa serikali unapotetea serikali hata kama ni kwenye jambo linaloumiza Wananchi , Yaani wananchi wakikusikiliza japo wanalia lakini wawe wanatabasamu .
Nawashukuru waliopendekeza kwamba ashushwe cheo na kutupwa kwenye Ukatibu wa Wizara , Japo nimedokezwa kwamba hiyo ni njia ya kuondokea .