Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Kila ikikaribia uchaguzi ndipo magugu yanaanza kuonekana na baada ya uchaguzi. kama hawa waliokuwa makamabda wakuaminiwa frontline kabisa wana njaa za namna hii sijui wenigne wana njaa kiasi gani
Mkuu sikupingi hili la mwaka huu limegusa pabaya...
Hakuna namna wacha waende Tuonyeshe wao sio CHADEMA. CHADEMA ni wananchi..
kuwa mpinzani ni Iman Mapambano yanaendelea
 
Kwenye kampeni zao walikuwa wanasema wataweka rehani mali zetu ili kupata fedha za kufanya miradi mikubwa mikubwa na siyo kama anavyofanya Magufuli.Sasa kuweka rehani chama kwa ajili ya wabunge hao kwa CHADEMA ni kitu kidogo mno.
 
Njaa ni hulka , ni kama kilema cha kuzaliwa , kwahiyo unaweza kuona mtu ana uwezo lakini bado akawa na njaa , lakini ukakuta kapuku hana hiyo njaa na ukashangaa , hii ni kwa vile kapuku huyo hakuzaliwa na hulka hiyo
Sasa hapo kutofautisha wenye njaa ndiyo ugumu uliopo. Kumuamini mwanasiasa ukjitoa hasa mwanasiasa mwenyewe wa Tanzania kwakweli ni upunguani. Watu wanapigania matumbo yao
 
Mkuu sikupingi hili la mwaka huu limegusa pabaya...
Hakuna namna wacha waende Tuonyeshe wao sio chadema ..chadema ni wananchi..
kuwa mpinzani ni Iman Mapambano yanaendelea
Mimi nilikuwa ninaipenda sana CHADEMA ya kabla mwaka 2015. Yani nilikuwa naipenda siambiwi kitu. Akili yangu ilirudi kuwa sawa baada ya tukio kubwa walilofanya. Toka siku hiyo mimi ni mchangiaji tu wa mijadara siko CCM siko CHADEMA. Nasifu inapobidi na kuponda inapobidi.
 
Mkuu RBC's....

Ninamtaja mmoja tu....Dr.Slaa ameshindwa wapi?!!

Amedhalilika?!!!!
 
Iwapo hao walioapa watafukuzwa na CDM basi na mimi kwa mara ya kwanza nitachukua kadi ya uanachama wa CDM!
🤣🤣

Yaani HALLIMA J.MDEE miongoni mwa inner circle ya CHADEMA "asili' leo hii ndio AFUKUZWE?!!!
Kumbuka yeye ndiye aliyewainspire wanawake wengi waliojiunga CHADEMA haswa MABINTI WA VYUO NA UNIVERSITIES....

Yaani huyu MDEE atimuliwe simply?!!!

There is something HIDDEN by their chairperson ambacho labda hata MNYIKA hakijui ama anaPRETEND kutokijua....Hallima Mdee atakuwa ANAKIJUA....
 
Katiba ya Chadema imeweka wazi kabisa kuhusu adhabu ya wasaliti , maamuzi si yangu ni ya kamati kuu , na wala hayaangalii chochote zaidi ya kuwashughulikia wakosefu bila huruma yoyote , mtu pekee kwenye kundi lile anayeweza kunusurika ni Nusrat .
Afadhali, muizike chadema kwa mikono yenu wenyewe
 
🤣🤣

Yaani HALLIMA J.MDEE miongoni mwa inner circle ya CHADEMA "asili' leo hii ndio AFUKUZWE?!!!
Kumbuka yeye ndiye aliyewainspire wanawake wengi waliojiunga CHADEMA haswa MABINTI WA VYUO NA UNIVERSITIES....

Yaani huyu MDEE atimuliwe simply?!!!

There is something HIDDEN by their chairperson ambacho labda hata MNYIKA hakijui ama anaPRETEND kutokijua....Hallima Mdee atakuwa ANAKIJUA....
Lengo ni chama kipate ruzuku waendelee kupiga pesa.
 
CHADEMA haijawahi kupambana na mwanachama mwanamke.Safari hii mtanyooka
 
Hao wasaliti hio kesho kutwa wafukuzwe tu hakuna namna maana wakiachwa kwa jinsi wanachama na watanzania tulivyo na tension CHADEMA inaelekea kibra.
 
🤣🤣

Yaani HALLIMA J.MDEE miongoni mwa inner circle ya CHADEMA "asili' leo hii ndio AFUKUZWE?!!!
Kumbuka yeye ndiye aliyewainspire wanawake wengi waliojiunga CHADEMA haswa MABINTI WA VYUO NA UNIVERSITIES....

Yaani huyu MDEE atimuliwe simply?!!!

There is something HIDDEN by their chairperson ambacho labda hata MNYIKA hakijui ama anaPRETEND kutokijua....Hallima Mdee atakuwa ANAKIJUA....
Ni aibu kwa serikali kushiriki kughushi nyaraka au kuwezesha uhalifu mpaka kuapisha wabunge ambao hawajateuliwa na chama!
Hii ni aibu na inaonesha serikali iko desperate kuwa na wabunge wa upinzani!
Lakini kwa hao wasaliti,nasema wafukuzwe wote ili kulinda heshima ya chama!Hakuna ambaye anapaswa kuwa juu ya chama!
 
Mimi nilikuwa ninaipenda sana Chadema ya kabla mwaka 2015. Yani nilikuwa naipenda siambiwi kitu. Akili yangu ilirudi kuwa sawa baada ya tukio kubwa walilofanya. Toka siku hiyo mimi ni mchangiaji tu wa mijadara siko CCM siko CHADEMA. Nasifu inapobidi na kuponda inapobidi.
Mkuu hata darasa aliimba huwezi kimbia unachokipenda sanaa unabaki unaumia.... Me Chadema naipenda japo na. makosa yote yanayotokea sijawai kukimbia nipo tu bora niitwe nyumbu maan nimeshazoea na hata kwa ManU yangu kuitwa hivyo
 
Heshima gani ambayo wewe unaweza kuwapa watu wa CHADEMA?
Kama wametangaza maandamano lakini hujatoka barabarani ili uonyeshe kama unawaheshimu, sasa unasema heshima gani?
Wewe ndo unagawa heshima huki CHADEMA au kwa watanzania?
Kama heshima ndo hizo za kusapoti ushoga, ni bora wajiondokee ili waepuke heshima za kishetani.
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali , Mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea .....
1606308282261.png
 
Back
Top Bottom