Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Katiba ya CHADEMA imeweka wazi kabisa kuhusu adhabu ya wasaliti , maamuzi si yangu ni ya kamati kuu , na wala hayaangalii chochote zaidi ya kuwashughulikia wakosefu bila huruma yoyote , mtu pekee kwenye kundi lile anayeweza kunusurika ni Nusrat .
Kumbe huwa hamna huruma kwa wasaliti alafu mnataka serikali iwe na huruma kwa msaliti.
 
Naona Bin Laden kaamua kunisingizia ndugu. Mie naamini itikadi. Kamwe siwezi kuwa shabiki maandazi. Mimi ni mshabiki na mpenzi wa Chadema kutokana na itikadi zake
Hahahaha... naona stress zimepungua mkuu! Welcome back.!! By the way how about the issue of ICC?
 
Dr Slaa hawezi kuongea kwenye kongamano lolote litakalozungumzia democrasia ya Tanzania hata kama kongamano hilo litafanyika chumbani kwake , huyu ndio Slaa uliyemfahamu ?
Dr Slaa angefanyaje kama hakuweza kuunga mkono kitu ambacho alikiona hakiko sawa hadi leo tunaona madhara yake
 
Sidhani kama Haliima Na Matiko kuwa ni wasaliti.............. Wanaume wa Chadema ndio wenye kinyongo
 
Ha ha ha ha

Eti kudhalilika

Kwani kunatoboa mwili?

Watu wanakuwa zao na ma v8 full viyoyozi ye anadai kudhalilika....

Kuna kudhalilika zaidi ya kukosa pesa?
Kuna kale kadada kako kule twiter kanaitwa ka Hilda eti kanaonesha msimamo kanawaiga kina Maria Sarungi na kigogo huku kana njaa hadi machoni.

Msimamo bongo hapa huku una njaa? Acha kina Halima wakajipigie mihela
 
Mwanangu wewe umekunywa ya bendera au ndio Mbowe mwenyewe.
 
Wabunge 19 wa viti maalum wa chadema ni ajira mpya inaandaliwa baada ya kufukuzwa hao wote.

Hovyo kabisa,walimu,madaktari,wauguzi,askari hali zao ngumu kimaisha halafu wao wanatumia fedha ktk mambo ya kijinga.
 
Huyu binti ana msimamo naona. Akikereka anaweza kuua chama kwa bidii ile ile aliyotumia kujijenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…