Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Wewe ni mpiganaji mzuri.
 
Visasi huwa havijengi, vinabomoa.
 
Tatizo lenu huwa humnaga kiasi kwenye kuongea, you talk too much mpaka mnapitiliza. Mkuu, erythrocyte umeongea kwa machungu sana, Ila Mh. Tl alikuja kwa dharau sana huku skijua kuwa na back up ya akina Amsterdam, na other Westerns alijua itamsaidia, ila ndo kakigharimu chama.

Mpambanaji asingewachia jumba bovu, angepambana mpaka anasettle insu zote ndani ya chama ndo anatoka. Yeye anakula miyulo na midola huko, wenzako wanakufa njaa tu huku. Be with them mpaka the end mkuu.

Ni wachache sana wakumbukao wenzao wenye njaa. You got what you deserved, Lowasa ndo alikuwa asset, na siyo Tl.
 
Mnyika naye atakuwa gugu tu, time will tell
 
Yaani kati ya watu walionivunja nguvu zangu ni Halima Mdee, kweli amesahau alivyovunjwa mkono kama mtu anavunja kuni kule kijijini? Ama kweli njaa huondoa akili kichwani! Hivi angepoteza nini kuvumilia miaka hii mitano bila ubunge? Aibu uliyotutia Halima sijui utaifutaje?
 
Dr Slaa hawezi kuongea kwenye kongamano lolote litakalozungumzia democrasia ya Tanzania hata kama kongamano hilo litafanyika chumbani kwake , huyu ndio Slaa uliyemfahamu ?
Siyo kweli
Kunakaukweli apo
 
Upo sahihi na ACT wakijiunga Zanzibar na shetani tuachanane nao kabisa
 
Lala vizuri amka mapema fanya kazi kwa juhudi na maarifa, hakikisha unawaandalia mazingira mazuri watoto wako kipindi wapo kwenye milki ya kuwaudumia nahitaji muhimu, pumzisha mwili wako kula matunda, penda kusikiliza nyimbo, ongea vizuri na mwenzio mjenge familia Bora, lala Tena usiku asubuh uamke mapema.

Siasa ya Tanzania ni hatari kwa afya ya akili na maisha yako kwa ujumla halima, ester, na ester saiz n waheshimiwa napesa za awali washasain na mzigo ushaingia kwenye account zao.

Mimi na wewe tupambane kwenye ishu zetu tusaidie familia zetu
 
Dr Slaa hawezi kuongea kwenye kongamano lolote litakalozungumzia democrasia ya Tanzania hata kama kongamano hilo litafanyika chumbani kwake , huyu ndio Slaa uliyemfahamu ?
Dr Slaa yupi kamanda?
Huyu aliyeandika kitabu "NYUMA YA PAZIA"? ndo ashindwe kuongelea topic ya demokrasia?
 
Mungu wabariki wabunge wa viti maalum wa Chadema wakiongozwa na Halima Mdee
 
Hapo kuna kuzunukana na kubadili hia angani sasa jidanganyeni asiwepo Lisu muone kama kuna chama hapo
 
Kupambana na CDM ni kujichosha tu, hawa kina mama waacheni waende huko CCM wakamtumikia Ndugai ambaye kwanza hakuchaguliwa - sisi tunasonga mbele ...alutaaa.
 
Kupambana na CDM ni kujichosha tu, hawa kina mama waacheni waende huko CCM wakamtumikia Ndugai ambaye kwanza hakuchaguliwa - sisi tunasonga mbele ...alutaaa.
Wameruhusiwa kwenda CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…