moto wa kifuu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 390
- 60
Wewe ni mpiganaji mzuri.Me Nina waunga mkono hao akina mama bila wao chadema ingepoteza zaidi wamekifanya kibakie kuwa chama Kikubwa cha upinzani Tanzania!
Pengine ile ndoto ya kuifuta au kukiondoa kwenye iyo nafasi haikutimia na haita timia hakuna anayeweza kujuwa kesho nini kita tokea kwa upande wa ccm!